habibu bakili
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 202
- 51
EL for 2015Watanzania
Hapa namuona Mhe. Rais ajaye (2015) wa TZ Mhe. Lowa Ssa jukwaa kuu, uwanjani Kasarani, Nairobi kuhudhuria kuapishwa kwa Mhe. Kenyatta. jiandae kumrithi JK 2015.
viva..
EL for 2015Watanzania
Hapa namuona Mhe. Rais ajaye (2015) wa TZ Mhe. Lowa Ssa jukwaa kuu, uwanjani Kasarani, Nairobi kuhudhuria kuapishwa kwa Mhe. Kenyatta. jiandae kumrithi JK 2015.
Haisaidii Hata KIDOGO... UHURU ataapa kwa JINSI UPENDAVYO lakini ni MWIZI wa ARDHI; BEPARI asiyejali walala hoi angalia THE KIBERA SLAMS just outside NAIROBI hawakumpigia kura UHURU KENYATTA... MOMBASSA na LAMU maeneo mambayo VIJANA wengi wa KIISLAMU hawana ELIMU BORA na AJIRA BORA hawakumpigia kura UHURU KENYATTA... Sasa ni kwanini hamtaki kuangalia the REAL CAUSE of the REAL PROBLEMS of LOW CLASS KENYAN'S Mnakimbilia UBEPARI na MENO MAZURI yanayotoka Mdomoni mwa UHURU KENYATTA... Hamjasahau??? Nani pia alikuwa na Maneno matamu alipokuwa anagombea urais tena???
akashangae kidogo na maendeleo ya nchi ya wenzie.
Haisaidii Hata KIDOGO... UHURU ataapa kwa JINSI UPENDAVYO lakini ni MWIZI wa ARDHI; BEPARI asiyejali walala hoi angalia THE KIBERA SLAMS just outside NAIROBI hawakumpigia kura UHURU KENYATTA... MOMBASSA na LAMU maeneo mambayo VIJANA wengi wa KIISLAMU hawana ELIMU BORA na AJIRA BORA hawakumpigia kura UHURU KENYATTA... Sasa ni kwanini hamtaki kuangalia the REAL CAUSE of the REAL PROBLEMS of LOW CLASS KENYAN'S Mnakimbilia UBEPARI na MENO MAZURI yanayotoka Mdomoni mwa UHURU KENYATTA... Hamjasahau??? Nani pia alikuwa na Maneno matamu alipokuwa anagombea urais tena???
katiba ijayo iweke ukomo wa rais kusafiri,huyu fast jet ametisha!!!
ule uzi wa safari muweka updates amechoka kazi
Rais anatumaliza watanzania kwa hizi safari zisizokuwa na maana kabsa kwetu sisi.
vipi alitumia ndege ya shirika gani? Kwakweli kuna siku ataanguka kizunguzungu kwa mizunguko yake
Mimi ninamkubali sana EL Huyu ndiye atakaye tuvusha.
Mimi ninamkubali sana EL Huyu ndiye atakaye tuvusha.
Bora Fisadi tunayemjua ameiba na amewekeza hapa Tz na tunaona mali zake kuliko mafisadi waliotuibia na hatujui hizo mali wamezificha wapi! By Ndallo
Ardhi yenyewe mkipewa kulima mnaweza au mnapayuka tu...
Ninashuhudia hotuba ya kuapishwa Uhuru Kenyatta iliyo ya kutia moyo na matumaini sana!ndani ya siku 100 za kwanza za utawala wake pamoja na mengi mazuri ameahidi haya!
1.wajawazito na watoto wote kutibiwa bure
2.wanafunzi wote kupatiwa computer(laptop)
Najiuliza pamoja na ukubwa wa tanzania,wingi wa rasilimali tulizo nazo ukilinganisha na Kenya,serikali dhalimu ya CCM Imeshindwa nini kuboresha maisha ya watanzania?Matarumbeta ya CCM mnaweza kulitetea liCCM lenu?CHADEMA wakisema haya yanawezekana nyie mnasema hayawezekani.Mnaweza nini sasa?Natamani sana kuwa raia wa KENYA!