Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 613
Kwa maoni yangu, huu ujumbe wa Rais ni kwa kina Slaa, Sitta, Kilango, Mwakyembe, Zitto, Mpendazoe na kwamba huenda anamuunga mkono Kingunge ambaye upo uwezekano pia alimtuma ama walizungumza.
Kauli kama hiyo aliwahi kuitoa Mkapa siku chache kabla ya Januari 21, 2001 na baada ya hapo kilichofuatia kisiasa tunakifahamu. Hapa anakoelekea Rais ni kubaya zaidi ila anatafuta njia. Alianza katika hotuba yake kwa kusema demokrasia lazima iwe na mipaka na sasa anasema "siasa basi tuendeshe nchi" na Mkapa alisema "siasa sasa basi, uchaguzi umekwisha tujenge nchi" ndipo maandamano yakazuiwa na hali ya kisiasa ikawa nzito akatimua zake nje (kama Kikwete aivyotimua juzi) huku nyuma mzee wa watu (Marehemu Dk. Omar) huku akipokea maagizo na maelekezo kutoka kwa Ben, akafanya Press Conf sambamba na Press Conf nyingine kama hiyo kwa serikali moja na baadaye mambo yakawa mazito.
MUNGU AEPUSHIE MBALI, lakini eweee JK na watu wako, tuepusheni na machafuko, Watanzania wamechangamka musiwachokoze, endeleeni tu kuwazuga hadi muda wenu wa kutawala uishe kwa amani.
Kauli kama hiyo aliwahi kuitoa Mkapa siku chache kabla ya Januari 21, 2001 na baada ya hapo kilichofuatia kisiasa tunakifahamu. Hapa anakoelekea Rais ni kubaya zaidi ila anatafuta njia. Alianza katika hotuba yake kwa kusema demokrasia lazima iwe na mipaka na sasa anasema "siasa basi tuendeshe nchi" na Mkapa alisema "siasa sasa basi, uchaguzi umekwisha tujenge nchi" ndipo maandamano yakazuiwa na hali ya kisiasa ikawa nzito akatimua zake nje (kama Kikwete aivyotimua juzi) huku nyuma mzee wa watu (Marehemu Dk. Omar) huku akipokea maagizo na maelekezo kutoka kwa Ben, akafanya Press Conf sambamba na Press Conf nyingine kama hiyo kwa serikali moja na baadaye mambo yakawa mazito.
MUNGU AEPUSHIE MBALI, lakini eweee JK na watu wako, tuepusheni na machafuko, Watanzania wamechangamka musiwachokoze, endeleeni tu kuwazuga hadi muda wenu wa kutawala uishe kwa amani.