jino1
Senior Member
- Feb 27, 2015
- 100
- 29
JK hawezi kurudi kwa ajili ya ki-Chawa kuonekana katika shati
waliobaki CCM wataimaliza UKAWA bila ya JK
Usijifanye unajisaulisha kwasabubu tu ulikua kambi flani ? Kama nyerere aliitwa kwa dharura ili kukinusuru chama, iweje jk asiitwe wakati ndio mwenyekiti wa ccm na raisi wa nchi. Acha mazoea....ya simba na yanga.