Usilete maneno ya mkoloni mwingereza na vi-debit na vi-credit vyenu hizo hela si za Tanesco zingetafuta nini kwenye vitabu vya Tanesco wakati si zake.
Ndio Mimi namwelewa kwa sehemu kubwa, japo kuna vipengele vinampa ugumu kidodo na yeye mwenyewe amekiri, ila tuache ushabiki JK ni mzima.hivi kuna anayeelewa anachokizungumza jk hapa ?
Baaaasi watanzania tu mbumbumbu sana...
Kwann uongee na wazee mambo mazito hivi? Kwann usituite wanazuoni? Aaaa rais umeniangusha mno
ndio maana kachagua wazee maana hawajarifuatilia sana ilo swala la escrow bado anababaika, wangekua vijana sijui kama angeweza kuliongelea kabisa au angeongea uku anafumba macho
Walikwepa kulipa kodi? Hakuna adhabu kwa mkwepa kodi? Au hilo nalo halikuwa na umuhimu wa kuongelewa? Hapa Nasubiri mwisho tu wa hotuba hii, ila msimamo wa mkuu wa kaya unatoa dalili za kwamba 'Muhongo na Tibaijuka kama wangejiuzulu angewashangaa!'
Ova
Kwani wewe ni Mtanzania?... Asante jk kwa kuwakasirisha watanzania, hata hao wazee wamekustukia hata kupiga makofi wamegoma