Rais Kikwete amteua Justice Prof. Ibrahim Juma kuwa mwanasheria mkuu (AG) Mpya

Status
Not open for further replies.
No comment as i don't know him but i smell something fishy!
Alimsaidia prince kuendelea na masomo ya LLB baada ya ku-disco. Prof alikuwa mkuu wa kitivo cha sheria pale mlimani. So fadhila inaendelea kulipwa tangu kupewa u-justice na aa unasema anapewa u-AG.
 
wakuu

taarifa niliyoipata kutoka vyanzo vyangu vya kuaminika vya IKULU vinasema our president has elected Ibrahim juma kuwa mwanasheria mkuu mpya wa Tanzania

So its Justice Proffessor Ibrahim Juma
as the next AG!! My teacher and former
colleague in the TLS. Congrats to him
and hopefully he has not changed from
the strict no non sense teacher and
judge i used to know.

na atatangazwa wakati wowote kutoka sasa
tegeni masikio yenu na macho

hongera prof juma

kwambaaaliiii naona mzee muheshimiwa kuliko wote anataka kupunguza kasi ya TUNDU LISSU kazi ambayo mzee "mwizi" alishindwa but what I have to say he is too late

ndugu yangu, hata huyu ataharibiwa na siasa kama alivyoharibiwa Prof Muhongo. chezea siasa wewe!
 
Hivi kweli hivyo vyanzo vinaweza kutoa siri kabla ya kutangzwa Huyo mwanasheria Mkuu basis hiyo nikali basi hakuna siri jumba kuu
 
Acha upuuzi...! AG aliyetoka pia alikuwa muislamu? Chuki bila logic, mkosoe kama unaona hafai kwa nafasi hiyo sio kwa dini yake.

JF imeingiliwa na kirusi kibaya cha udini.Imekuwa tabia ya wachangiaji kuvuruga hoja kwa kuingiza udini.Mwisho wake hujadiri dini badala ya hoja ya msingi.
 
Aiseeee huu udini mkubwa sana wa wazi nilikuwa sijaona, kumbe...eeehh...sasa i proved jamaa mdini wa kupindukia hafai kabisa...mmmmhhh..!!!

Waislam tunataka Waziri Mkuu muislam, Pinda, Lowasa, Sumai wote ni wakristo ni zamu ya muislamu sasa,
 
Mtayazoea tu hayo majina ya Juma, Ali, Mohamed, Ramadhani....mlikuwa mkisema hawasomi, au hawana elimu inayotakiwa kukidhi uteuzi?

Ninyi watu wa ajabu sana. Toeni Takwimu,Kipindi chote ambacho Kikwete amefanya teuzi, ni wateuliwa wangapi ni akina Juma na Ramadhani na wangapi ni Matias, Denedeus, Francis kama ni watu mnaolitakia kheri taifa la wadanganyika.
.........heeee!!!! kumbe unaongea huna takwimu!!!!! pole
 
Sio kwamba Jaji Werema alikuwa hajui sheria au alikuwa haelewi la hasha. ukiisaidia CCM lazima uwe mwehu na usahau maadili yote, elimu yako uikane uwe kama chizi mwisho utatolewa kwa aibu, Prof Juma namwonea huruma sana kwani atatakiwa kutetea utumbo na wizi na atafanya hivyo. ndipo msangao utakapompata akiitwa mwizi, na mhujumu na atakumbuka shuka JK kalala zake Msata na kiinua mgongo chake.
 
Nilichogundua hawa wenzetu wa upande wa pili, chrustians ni wadini kuliko nilivyofikiria, waislamu hatujawahi hoji kitu km hichi aslani. wateuliwa waliopita CAG, na AG walikua wakristo hakuna muislamu aliehoji kuhusu ili, sipati picha mkiwa wenyewe mnakua na chuki kiasi gani na Muslims.
 
Profesor Ibrahimu Juma alikuwa pale faculty of law Udsm na Mbunge wa Chalinze wa sasa alidisco ila prof Juma akiwa dean of faculty alifanya anavyojua mpaka Riziwani akamaliza degree yake na siku chache baadaye Prof juma akateuliwa kuwa jaji wa mahakama

kama ndivyo, basi hatuna AG bali tuna mlamba viatu vya wakubwa! huyu atakuwa AG wa hovyo hata kumzidi fisadi chenge.
 
Mdini maana yake nini?
Toa uthibitisho.


Confirmation..!!! watch out when u argue with me...JK MDINI SANA....

Proof..!! 1: Judge mkuu...Othman Chande...

2: Mkuu wa Usalama...Rashid Othman

3: C.A.G....... Prof. Assad

4: AG..... Prof Juma.

5: Makamu wa Rais Dr. Bilal

6: Wakuu wa Mikoa 75% waislam

7: Wakuu wa wilaya 70% waislam

8: Mabalozi huko usiseme...mostly Muslims


Wht else u want more...!!! shut up & fck off...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom