22 September 2023
Masijala ya Mahakama Kuu
Dar es Salaam
Kesi namba 7 ya 2023 ya Humphrey Simon Malenga dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali leo imetolewa hukumu yake .
Humphrey Simon Malenga alifungua kesi, ili Mahakama Kuu itafsiri kama rais alivunja katiba au la kwa muuongezea muda wa kubaki ofisini baada ya jaji mkuu Profesa Ibrahimu Juma kufikisha muda wa kustaafu wa miaka 65.
Katika hukumu hiyo ya kurasa 33 Mahakama Kuu imejiridhisha kuwa mheshimiwa rais hakuvunja katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kumuongezea jaji wa mahakama ya rufaa ambaye ni jaji mkuu Professor Ibrahimu Juma kuendelea kubaki ofisini
Jaji G.N.Isaya amesema nafasi ya kukata rufaa ipo dhidi ya hukumu iliyotolewa leo ya kutupilia mbali kesi iliyofunguliwa na Humphrey Simon Malenga.
......
Soma hukumu nzima source :
Having determined the issues above, I find the petition without
merit. It stands dismissed. No order as to costs.
Order accordingly. (
signed
G.N.Isaya
Judge
22.09.2023.
Court: Judgment delivered in open court this 22nd day of September, 2023 in the presence of Mr. Ipilinga Panya and Aliko Harry Mwamanenge,
Learned Advocates for the petitioner. Ms. Victoria Lugndo, State Attorney, for the Respondent, Ms. Catherine Shenkunde (B/C), and Hon. Chilemba
Chikawe (JLA). /
G.N.Isaya
Judge
22.09.2023
Right of Appeal fully explained. /
G.N.Isaya Judge
22.09.2023
Page 33 of 33
Pia soma: Mwanasheria afungua kesi kupinga Jaji Mkuu kubaki kazini baada ya muda wa kustaafu kupita
Masijala ya Mahakama Kuu
Dar es Salaam
Kesi namba 7 ya 2023 ya Humphrey Simon Malenga dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali leo imetolewa hukumu yake .
Humphrey Simon Malenga alifungua kesi, ili Mahakama Kuu itafsiri kama rais alivunja katiba au la kwa muuongezea muda wa kubaki ofisini baada ya jaji mkuu Profesa Ibrahimu Juma kufikisha muda wa kustaafu wa miaka 65.
Katika hukumu hiyo ya kurasa 33 Mahakama Kuu imejiridhisha kuwa mheshimiwa rais hakuvunja katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kumuongezea jaji wa mahakama ya rufaa ambaye ni jaji mkuu Professor Ibrahimu Juma kuendelea kubaki ofisini
Jaji G.N.Isaya amesema nafasi ya kukata rufaa ipo dhidi ya hukumu iliyotolewa leo ya kutupilia mbali kesi iliyofunguliwa na Humphrey Simon Malenga.
......
Soma hukumu nzima source :
Having determined the issues above, I find the petition without
merit. It stands dismissed. No order as to costs.
Order accordingly. (
signed
G.N.Isaya
Judge
22.09.2023.
Court: Judgment delivered in open court this 22nd day of September, 2023 in the presence of Mr. Ipilinga Panya and Aliko Harry Mwamanenge,
Learned Advocates for the petitioner. Ms. Victoria Lugndo, State Attorney, for the Respondent, Ms. Catherine Shenkunde (B/C), and Hon. Chilemba
Chikawe (JLA). /
G.N.Isaya
Judge
22.09.2023
Right of Appeal fully explained. /
G.N.Isaya Judge
22.09.2023
Page 33 of 33
Humphrey Simon Malenga versus The Hon. Attorney Genaral (MISCELLANEOUS CIVIL CAUSE NO. 07 OF 2023) [2023] TZHC 7 (22 September 2023)
Pia soma: Mwanasheria afungua kesi kupinga Jaji Mkuu kubaki kazini baada ya muda wa kustaafu kupita