Mahakama Kuu yatoa uamuzi - Rais hakuvunja katiba kuongeza muda wa Jaji Prof. Juma kuendelea kuwa Jaji Mkuu wa Tanzania

bagamoyo

JF-Expert Member
Jan 14, 2010
21,305
24,200
22 September 2023
Masijala ya Mahakama Kuu
Dar es Salaam

Kesi namba 7 ya 2023 ya Humphrey Simon Malenga dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali leo imetolewa hukumu yake .

Humphrey Simon Malenga alifungua kesi, ili Mahakama Kuu itafsiri kama rais alivunja katiba au la kwa muuongezea muda wa kubaki ofisini baada ya jaji mkuu Profesa Ibrahimu Juma kufikisha muda wa kustaafu wa miaka 65.

Katika hukumu hiyo ya kurasa 33 Mahakama Kuu imejiridhisha kuwa mheshimiwa rais hakuvunja katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kumuongezea jaji wa mahakama ya rufaa ambaye ni jaji mkuu Professor Ibrahimu Juma kuendelea kubaki ofisini

Jaji G.N.Isaya amesema nafasi ya kukata rufaa ipo dhidi ya hukumu iliyotolewa leo ya kutupilia mbali kesi iliyofunguliwa na Humphrey Simon Malenga.
......

Soma hukumu nzima source :
Having determined the issues above, I find the petition without
merit. It stands dismissed. No order as to costs.
Order accordingly. (
signed
G.N.Isaya
Judge

22.09.2023.

Court: Judgment delivered in open court this 22nd day of September, 2023 in the presence of Mr. Ipilinga Panya and Aliko Harry Mwamanenge,
Learned Advocates for the petitioner. Ms. Victoria Lugndo, State Attorney, for the Respondent, Ms. Catherine Shenkunde (B/C), and Hon. Chilemba
Chikawe (JLA). /

G.N.Isaya
Judge

22.09.2023
Right of Appeal fully explained. /
G.N.Isaya Judge
22.09.2023
Page 33 of 33


Humphrey Simon Malenga versus The Hon. Attorney Genaral (MISCELLANEOUS CIVIL CAUSE NO. 07 OF 2023) [2023] TZHC 7 (22 September 2023)​


Pia soma: Mwanasheria afungua kesi kupinga Jaji Mkuu kubaki kazini baada ya muda wa kustaafu kupita
 
Kuna mtu aliwaza kuwa hao majaji walioteuliwa na Rais Kwa kupendekezwa na jaji mkuu wangeamua kinyume na hili.

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Hakuna wa kuhukumu kinyume na serikali.

Majaji wote ni mihuri ya serikali.

Kwa ujumla hatuna mahakama huru.

Mahakama yote ni sawa na watoto wanacheza rede wakimaliza wanatawanyika makwao
 
22 September 2023
Masijala ya Mahakama Kuu
Dar es Salaam

Kesi namba 7 ya 2023 ya Humphrey Simon Malenga dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali leo imetolewa hukumu yake .

Humphrey Simon Malenga alifungua kesi, ili Mahakama Kuu itafsiri kama rais alivunja katiba au la kwa muuongezea muda wa kubaki ofisini baada ya jaji mkuu Profesa Ibrahimu Juma kufikisha muda wa kustaafu wa miaka 65.

Katika hukumu hiyo ya kurasa 33 Mahakama Kuu imejiridhisha kuwa mheshimiwa rais hakuvunja katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kumuongezea jaji wa mahakama ya rufaa ambaye ni jaji mkuu Professor Ibrahimu Juma kuendelea kubaki ofisini

Jaji G.N.Isaya amesema nafasi ya kukata rufaa ipo dhidi ya hukumu iliyotolewa leo ya kutupilia mbali kesi iliyofunguliwa na Humphrey Simon Malenga.
......

Soma hukumu nzima source :
Having determined the issues above, I find the petition without
merit. It stands dismissed. No order as to costs.
Order accordingly. (
signed
G.N.Isaya
Judge

22.09.2023.

Court: Judgment delivered in open court this 22nd day of September, 2023 in the presence of Mr. Ipilinga Panya and Aliko Harry Mwamanenge,
Learned Advocates for the petitioner. Ms. Victoria Lugndo, State Attorney, for the Respondent, Ms. Catherine Shenkunde (B/C), and Hon. Chilemba
Chikawe (JLA). /

G.N.Isaya
Judge

22.09.2023
Right of Appeal fully explained. /
G.N.Isaya Judge
22.09.2023
Page 33 of 33


Humphrey Simon Malenga versus The Hon. Attorney Genaral (MISCELLANEOUS CIVIL CAUSE NO. 07 OF 2023) [2023] TZHC 7 (22 September 2023)​

Hahahahaha
Jaji Mkuu
Mahakama kuu
Hukumu

Kwa nini kesi hiyo isiamuliwe na Mahakama ya Afrika Mashariki?

Jaji Mkuu ni mkuu wa mahakama na mfumo wote wa utoaji haki nchini
 
22 September 2023
Masijala ya Mahakama Kuu
Dar es Salaam

Kesi namba 7 ya 2023 ya Humphrey Simon Malenga dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali leo imetolewa hukumu yake .

Humphrey Simon Malenga alifungua kesi, ili Mahakama Kuu itafsiri kama rais alivunja katiba au la kwa muuongezea muda wa kubaki ofisini baada ya jaji mkuu Profesa Ibrahimu Juma kufikisha muda wa kustaafu wa miaka 65.

Katika hukumu hiyo ya kurasa 33 Mahakama Kuu imejiridhisha kuwa mheshimiwa rais hakuvunja katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kumuongezea jaji wa mahakama ya rufaa ambaye ni jaji mkuu Professor Ibrahimu Juma kuendelea kubaki ofisini

Jaji G.N.Isaya amesema nafasi ya kukata rufaa ipo dhidi ya hukumu iliyotolewa leo ya kutupilia mbali kesi iliyofunguliwa na Humphrey Simon Malenga.
......

Soma hukumu nzima source :
Having determined the issues above, I find the petition without
merit. It stands dismissed. No order as to costs.
Order accordingly. (
signed
G.N.Isaya
Judge

22.09.2023.

Court: Judgment delivered in open court this 22nd day of September, 2023 in the presence of Mr. Ipilinga Panya and Aliko Harry Mwamanenge,
Learned Advocates for the petitioner. Ms. Victoria Lugndo, State Attorney, for the Respondent, Ms. Catherine Shenkunde (B/C), and Hon. Chilemba
Chikawe (JLA). /

G.N.Isaya
Judge

22.09.2023
Right of Appeal fully explained. /
G.N.Isaya Judge
22.09.2023
Page 33 of 33


Humphrey Simon Malenga versus The Hon. Attorney Genaral (MISCELLANEOUS CIVIL CAUSE NO. 07 OF 2023) [2023] TZHC 7 (22 September 2023)​


Pia soma: Mwanasheria afungua kesi kupinga Jaji Mkuu kubaki kazini baada ya muda wa kustaafu kupita
HAKUA JAJI WA KUTOA HUKUMU YA KUMPINGA SAMIA, WE HAVE BUNCHES OF SHYSTER JUDGES!
 
Katiba
FB_IMG_1695432962208.jpg
 
22 September 2023
Masijala ya Mahakama Kuu
Dar es Salaam

Kesi namba 7 ya 2023 ya Humphrey Simon Malenga dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali leo imetolewa hukumu yake .

Humphrey Simon Malenga alifungua kesi, ili Mahakama Kuu itafsiri kama rais alivunja katiba au la kwa muuongezea muda wa kubaki ofisini baada ya jaji mkuu Profesa Ibrahimu Juma kufikisha muda wa kustaafu wa miaka 65.

Katika hukumu hiyo ya kurasa 33 Mahakama Kuu imejiridhisha kuwa mheshimiwa rais hakuvunja katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kumuongezea jaji wa mahakama ya rufaa ambaye ni jaji mkuu Professor Ibrahimu Juma kuendelea kubaki ofisini

Jaji G.N.Isaya amesema nafasi ya kukata rufaa ipo dhidi ya hukumu iliyotolewa leo ya kutupilia mbali kesi iliyofunguliwa na Humphrey Simon Malenga.
......

Soma hukumu nzima source :
Having determined the issues above, I find the petition without
merit. It stands dismissed. No order as to costs.
Order accordingly. (
signed
G.N.Isaya
Judge

22.09.2023.

Court: Judgment delivered in open court this 22nd day of September, 2023 in the presence of Mr. Ipilinga Panya and Aliko Harry Mwamanenge,
Learned Advocates for the petitioner. Ms. Victoria Lugndo, State Attorney, for the Respondent, Ms. Catherine Shenkunde (B/C), and Hon. Chilemba
Chikawe (JLA). /

G.N.Isaya
Judge

22.09.2023
Right of Appeal fully explained. /
G.N.Isaya Judge
22.09.2023
Page 33 of 33


Humphrey Simon Malenga versus The Hon. Attorney Genaral (MISCELLANEOUS CIVIL CAUSE NO. 07 OF 2023) [2023] TZHC 7 (22 September 2023)​


Pia soma: Mwanasheria afungua kesi kupinga Jaji Mkuu kubaki kazini baada ya muda wa kustaafu kupita
Nchi hii watu waliofikisha umri wa kustaafu hawastaafu lakini wanatoa ushauri na kusisitiza kuwa vijana wanapaswa wajiajiri wao wenyewe. Mamlaka za uteuzi zimejaa wazee ambao hawawaamini kabisa vijana, kwa hiyo wanaona ni vyema taasisi, vitengo, na idara nyeti ziendelee kuongozwa na wastaafu waliokwisha pata mafao yao ya kustaafu.

Wastaafu wengi ni kizazi cha BBC, "Born Before Computer" kwa hiyo hawaendani kabisa na kasi ya sasa ya matumizi ya sayansi na teknolojia. Ukizingatia "conservative nature" ya watu wenye umri mkubwa, basi mifumo yetu ya utawala na uendeshaji unaikuta imepitwa kabisa na wakati, ama inakwenda kinyume kabisa na "international best practices".

Ama kwa hakika wastaafu wamegoma kustaafu kwa kuwa wao ni vijana wa zamani. Na ukiwa na fursa ya kuingia kwenye mifumo unabebika na kubebishwa kama kawa.
 
Hakuna wa kuhukumu kinyume na serikali.

Majaji wote ni mihuri ya serikali.

Kwa ujumla hatuna mahakama huru.

Mahakama yote ni sawa na watoto wanacheza rede wakimaliza wanatawanyika makwao
Mnaendaga Mahakamani kufanya nini Sasa 😁😁

Chadema kama Mwambukusi Chali 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom