Rais Kikwete amteua George Masaju kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali

huyo jamaa nazan anaitwa kyuki au quk ni mmoja wa wanasheria aliekua katika ile tume ya mabadiliko ya sheria na pia ni mfanyakazi wa bunge kwa sasa. binafsi namjua kama akitulia anaeza akafanya mabadiliko pia hanaga mbwembwe kama lifisadi werema ingawa hela ni hela tu. ENDAPO ALIECHAGULIWA NI HUYO KYUKI

Majority kabla ya vyeo vya kujuana wanakuwa binadamu, wakipewa nyadhifa hizo bwana ....baaasi... si binadamu tena!
 
Na Umbea sasa umeshika hatamu hakana mwanamke wala mume wote hao hao.

Sababu hatuna kazi za kufanya
 
Rais Jakaya kikwete amemteua George Masaju kuwa mwanasheria mkuu wa serikali katika uteuzi uliotangazwa punde. Nawawekeeni taarifa nzima ya uteuzi soon

Unajua Ni Kwanini Mkuu? Fuatillia Kwa Umakini Sana Kesi Zote Alizosimamia Bwana Masaju Kisha Utapata Majibu Tosha Juu Ya Uteuzi Wake.....Alimsahau ktk Listi Ya MAPOPOMA Wataka FADHILA! Na ktk Listi Yake Amebakiza Watu 7 tu Hivyo Kaa Tayari Muda Wowote Utasikia UTEUZI Mwingine Wa Posts Mbalimbali.
 
Simuelewi Mkuu,ni zamu ya vijana sasa,hivi Riz si naye kasoma Bsc in Tundulisu?
 
we mleta hii mada mchochezi mkubwa tena unafanana na boko haramu nchi hii haiendeshwi ki dini wala haina dini ila wenye dini ni raia wa tanzania na sio nchi aaalas!
 
BAADA YA FREDRICK WEREMA KUJIUZULU, RAIS ATEUA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI MPYA.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana George Mcheche Masaju kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Uteuzi wa Bwana Masaju ulianza jana, Ijumaa, Januari 2, 2015 na ataapishwa keshokutwa, Jumatatu, Januari 5, 2015, Ikulu, Dar Es Salaam.


Kabla ya uteuzi wake, Bwana Masaju alikuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Bwana Masaju pia amepata kuwa Mshauri wa Sheria wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
 
Back
Top Bottom