Mkuu Mwita Maranya , Nianze kwa kuuliza, kama huu niliofanya ni wivu wa kike, Je, upi ndiyo wivu wa kiume, kama hakuna wivu wa kiume, huoni maneno yako yana mtazamo wa dharau and victimization kwa wanawake.Acha wivu wa kike wewe, kwani mara ngapi tunawashuhudia mawaziri na wabunge wa ccm wanavaa mavazi ya kichama katika shughuli za kiserikali? ni mara ngapi wakuu wa mikoa na wilaya wanatumia rasilimali za serikali katika mikutano ya ccm kwakuwa tu yupo Kinana, Nape au Kikwete katika shughuli za kiccm?
Wenje amevaa t shirt safi kabisa ya M4C ambayo imempendeza na kwahakika hajafanya kosa lolte ama kumkwaza mtu yeyote kwa mavazi yake. Hata alipopewa nafasi na Raisi Kikwete kusalimia wananchi alifanya hivyo kwa salamu ya Chadema na uwanja mzima ukazizima. Hatahivyo hapo ni uwanja wake wa nyumbani na Chadema ndio habari ya mujini.
wenje na tshart yake kama ametoka bar hapo jirani na mkutano mpaka anatia huruma
mkuu kijome :yield: Hahaha hahaha hahaha maccm aka magamba huwaza kwa kutumia masaburKweli masisiem hamuoni masabur..i yenu,antonia dialo na likofia lake kama anaokota chupa za uhai huoni,soseji pita muongo na t shirt yake ya magamba ndani ya koti nayo hujaona?acheni unaa nyie magamba!!!
Kumbe wakati mwingine kikwete anaona mbali.
kama si chadema jk asingepata hao watu.
mbona maghufuli na jk wamemsifia wenje? Je hiyo nyamagana ni ya wapi? Utasubiri sana mkuu!Hiyo movement for change inamsubiri yeye, Wenje, na nafikiri anaijua Nyamagana vizuri!
2015 sio mbali,tutaujua ukweli!kama umeandika ukweli au propaganda tutajua!Kwani aliwaandikia barua kuwaomba wahudhurie? wamejipendekeza wenyewe kwa kuwa wanajua hawatarudi mwanza tena ndio Omega yao 2015, hao wabunge wawili walifanya maandamano juzi watu waliohudhuria ni wapiga debe, vijana wakiume na wanywa viroba, wakaishia kupigwa mabomu
Hakuna wanawake au wazee waliohudhuria kama unavyojionea kwa macho kwa ziara hii ya Rais wetu ambaye kwasasa mumemtambua kuwa ndie aliyewashinda 2010 na mkajifanya kujifaragua kutafuta huruma ya wananchi mwisho baba zako akina slaa wakaishia kwenda kuomba chai Ikulu, Aibu hii ndio Omega yenu.
Umekuwa Mtetezi mkubwa sana wa JK pale anapofanya vizuri na hata apofanya vibaya
mfano kuweka mchagoni majina ya wauza sembe bila Shaka likiwemo na jina lako. Hebu tuambie wewe na JK mkoje?
mbali na hili la Kuwa Rais wa watanzania wote.
ukifanya ziara ya kiserikali kanda ya ziwa ukawabagua CDM kwa namna yoyote ile basi ziara hiyo lazima ikudodee - JK ni mjanja ndiyo maana kaagiza wabunge wa CDM wawepo.Rais Kikwete, ni rais wa wote wenye vyama na wasiyo na vyama, waliomchagua na wale ambao hawakumchagua.
Anafanya hivi kwenye majimbo yote ambayo kuna wabunge wa upinzani aangalii Chadema, CUF, NCCR Mageuzi wala CCM.
Sijui umeipata wapi hiyo kuwa JK kaamua kuwashirikisha Chadema.
Kikwete ni raisi wa mfano katika taifa hili kuwahi kutokea. Ni mtu anaewasikiliza watanzania wanataka nini na kuact accordingly.
Ndipo akili zao zilipohamia mkuu concord nh hata nepi anajua zipo kwenye masabur ,karume akaua zaidi eti wana akili za kambale hahahaaaamkuu kijome :yield: Hahaha hahaha hahaha maccm aka magamba huwaza kwa kutumia masabur
Nakusamehe bure maana ndio mwisho wa uwezo wako wa kuelewa.ukweli unauma, that goes without saying:A S angry:
Huu ni ukomavu kisiasa na pia ni taswira nzuri kwa Taifa.
Siasa za vyama vingi siyo ugonvi bali ni njia mojawapo inayotumika kuharakisha na kusukuma maendeleo mbele zaidi katika nchi.
Nimelipenda vazi la mbunge Kiwia ambalo haliwagawi wananchi katika hafla hiyo kwa misingi ya kiitikadi na mitazamo kwa sababu halina alama au nembo yoyote inayomtambulisha kama ni tofauti na baadhi ya wananchi na viongozi wengine. Mh. Kiwia yuko kitaifa zaidi kama ilivyo kwa Rais Kikwete na hasa ukichukulia kuwa Mwanza ni epic centre ya mapambano ya kisiasa kati ya CCM na CHADEMA kwa kanda ya ziwa.
Mbunge Wenje anatakiwa afahamu ni wapi anatakiwa kuvaa mavazi aliyovaa na wapi hapaswi kuvaa. Lazima ajitambulishe kama ni mbunge wa wananchi wote kwenye hafla ya kitaifa na siyo mbunge wa CHADEMA.
Big up Mh. Kiwia kwa kuliona hilo.