Rais kapewa ushauri mzuri sana pengine kuliko mwana CCM yoyote yule

Aliyoyaandika hayo analenga yale yale anayotaka yatokee tangu mwanzo kwa chuki zake alizozijaza rohoni pake..

Hakuna jipya.. na hajatumia akili kabisa na kuandika mgazeti wote huo hana ujanja.. angemezea mengine.. ila hawezi sababu hana lingine zaidi ya chuki za wivu.. ameona njia za kumtukana Mkulu na viongozi wengine hazimpi kiki.. wafuasi wake walianza kumdharau.. zimeshindikana sasa anafikiri akili hiyo ya kuandika hayo itapenya.. ni kama anaomba msamaha kwa Mkulu kwa kutumia ulimi ila rohoni kajaa majanga matupu ya chuki za kibinafsi juu ya maisha yake yalivyompiga chini.

Maisha yake aliyokuwa nayo miaka miwili mitatu iliyopita kamwe hakutegemea kuwa alipo leo.. bora tu alie aondoe uchungu la sivyo atazidi kuwashwa washwa.. na ajipige vibao vya usoni..

Mwambieni ujanja wake aliotumia kuandika hayo yote haupenyi ng'ooo

Pole kwa upinzani kwa kuzidi kuonyesha hamna jipya bali mnaweweseka sana sana kwa kuisoma namba.. na kuwa na wasemaji wenu anyau kabisa

Kawa karibu na wafuasi wa Chadema wa USA wamepiga pesa mnazochangia za matibabu jata kuwalipia wengine likizo kwenda Tanzania na kuchungulia Nairobi kwa masaa kupiga picha za kuwaonyesha... nyuma ya pazia wanawacheka.. endeleeni kuwapa pesa watanue bora mngetuma michango kwa mkewe moja kwa koja hata ndugu wengine..

Umeandika upumbavu tu
 
Elewa kuriko vitisho vya kumwangamiza Mange ni afadhali watumie diplomasia; ina maana nachukizwa na ubabe; kama nimekosea nisamehe! Lakini utajisikiaje endapo ungehudhuria msiba Wa Mange kwamba kashambuliwa, ..na uhakika moyoni ungesema kwanini hawa washambuliaji hawakutumia njia nyingine?....ambayo ndiyo hii ndiyo niliyoishauri hapa! Siasa siyo uadui!
Epuka kulishwa uongo wa kisiasa nani kamtisha mange isipokua ni kaamua kujitisha mwenyewe nani ametaka kumuua na kwanini auliwe kila anae kufa hufa kwa sababu zake!
 
images.jpg


Mleta mada hajui kama Mange ni jiCCM,tatizo watu wanaamini ukiwa CCM ni marufuku kukosoa,Nyerere ametuachia baadhi ya legacy za kipuuzi
 
Huyu dada kila siku mnamponda kwa kumkosoa Mkulu lakini ushauri alioutoa leo kwa Mkulu nahakika hakuna mwana-CCM hata mmoja aliewahi kuutoa.

Kwakweli yote aliyoshauri ni mambo ya msingi sana ila nimeguswa zaidi na tahadhari aliompa Mkulu baada ya yeye kuondoka ofisini kwani hata mimi nimewahi kuwaza hivyo mara nyingi sana.

Kwenye maisha kwakeli ni bora wanaokukosoa kuliko wanaokupigia makofi kwa kila jambo.

Mkuu, umepewa ushauri mzuri na wa bure sasa kazi kwako.
afadhali ugeleta ujumbe wa halima mdee au bulaya kuliko huyo muuza mbuu ughaibuni!
 
Epuka kulishwa uongo wa kisiasa nani kamtisha mange isipokua ni kaamua kujitisha mwenyewe nani ametaka kumuua na kwanini auliwe kila anae kufa hufa kwa sababu zake!
Akili ni nywele lakini kwako nimeamini hujakosea kujiita [HASHTAG]#kipara[/HASHTAG] kipya
 
Aliyoyaandika hayo analenga yale yale anayotaka yatokee tangu mwanzo kwa chuki zake alizozijaza rohoni pake..

Hakuna jipya.. na hajatumia akili kabisa na kuandika mgazeti wote huo hana ujanja.. angemezea mengine.. ila hawezi sababu hana lingine zaidi ya chuki za wivu.. ameona njia za kumtukana Mkulu na viongozi wengine hazimpi kiki.. wafuasi wake walianza kumdharau.. zimeshindikana sasa anafikiri akili hiyo ya kuandika hayo itapenya.. ni kama anaomba msamaha kwa Mkulu kwa kutumia ulimi ila rohoni kajaa majanga matupu ya chuki za kibinafsi juu ya maisha yake yalivyompiga chini.

Maisha yake aliyokuwa nayo miaka miwili mitatu iliyopita kamwe hakutegemea kuwa alipo leo.. bora tu alie aondoe uchungu la sivyo atazidi kuwashwa washwa.. na ajipige vibao vya usoni..

Mwambieni ujanja wake aliotumia kuandika hayo yote haupenyi ng'ooo

Pole kwa upinzani kwa kuzidi kuonyesha hamna jipya bali mnaweweseka sana sana kwa kuisoma namba.. na kuwa na wasemaji wenu anyau kabisa

Kawa karibu na wafuasi wa Chadema wa USA wamepiga pesa mnazochangia za matibabu jata kuwalipia wengine likizo kwenda Tanzania na kuchungulia Nairobi kwa masaa kupiga picha za kuwaonyesha... nyuma ya pazia wanawacheka.. endeleeni kuwapa pesa watanue bora mngetuma michango kwa mkewe moja kwa koja hata ndugu wengine..
Crap.
 
Huu Uzi mmeunganisha unahusiana vipi? Moderator sometime hamueleweki! Utaunganishaje nyuzi tofauti?
 
IGP Sirro anamsaka huyo dada amtie nguvuni kwa matusi yake kwa Mh Rais Magufuli.

Huo ushauri wake haufuti matusi yake ya kishenzi kabisa huyo dada kwa viongozi wa Kitaifa.
Ukimshauri dktta ucwra ni sawa na umemtukana!!yeye anaamini kuwa anajua kila kitu,anamshinda hadi mungu kwa power
 
Back
Top Bottom