Rugaiyulula
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,525
- 1,704
Hii habari ni ya kitambo sana na wazazi Prof ni wa Kagera ila yeye kakaa sana Rwanda bila shaka alishapewa na urai wa uko.
Sio mtanzania tena maana kashaukana utanzania kawa mnyarwanda
Tanzania kuna wanyarwanda wengi sana na wana vyeo vikubwa serikalini, baadhi in wale walioingia 1959 na walipewa uraia sema wakichoka wanaamua kuukana utanzania na kurudi Rwanda, binafsi nawajua wengi tu waliorudi kwao na kupewa position kubwa serikalini.
Naunga mkono hojaKiinteligensia waweza kuta alikuwa mnyarwanda then akapandikizwa Tz kwa kazi maalumu na alipoikamilisha akachukuliwa kinamna namna. Na sisi tulivyo maji vichwani tunajisifu pasi na kuangalia kwa jicho la tatu.
Nahisi vyuo vyetu vikuu vina mapandikizi mengi sana ya nje.
Hatushtuki
Usingizi wa pono
Biinzi ni makamasi. Kama kweli kichwa changu kina makamasi naomba ukosoe kisomi kwa faida ya wenzetu. Watusi wanatokea wapi kihistoria? wewe utakuwa Mhaya punguani asiyujua chochote kazi kuvaa miwani na kufunga suruali tumboni while having nothing on your upstair and on your pocket.Duuuh aisee wewe kichwani mwako kuna kitu kinaitwa ebiinzi kabisa...Kaa kimya kwenye mambo ambayo sio lazma uchangie
Thank youAccording to the Hamitic theory, this "Hamitic race" was superior to or more advanced than Negroid populations of Sub-Saharan Africa. In its most extreme form, in the writings of C. G. Seligman, this theory asserted that virtually all significant achievements in African history were the work of "Hamites" who had migrated into central Africa as pastoralists, bringing new customs, languages, technologies and administrative skills with them. In the early 20th century, theoretical models of Hamitic languages and of Hamitic races were intertwined.[4]
Source: Wikipedia
Silas Lwakabamba (born 1947) is a Rwandan professor of Tanzanian origin who has served as the Minister of Education of Rwanda since July 2014 until June 24, 2015
Ni Mnyarwanda mwenye asili ya Tanzania ref Silas Lwakabamba - Wikipedia
Kwa nini Oman na Israel?View attachment 573168
Prof. Silas Lwakabamba wa Rwanda alizaliwa & kusoma Tanzania.
Alifundisha Chuo Kikuu Udsm.
Hapa anaapa kuwa Waziri wa Elimu Rwanda
Hivi sisi tunaweza kumpa kazi ya uwaziri Mtanzania aliyezaliwa, kukulia na kufanya kazi Oman au Israel?
Canada au India au Australia au ZimbabweKwa nini Oman na Israel?