kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,368
Ili ulimwengu umuone shujaa wa hatari.
Wakati wiki kazaa nyuma ameua raia wa goma ambao walikuwa wanaandama kuomba monusco watoke katika ardhi ya kongo.
Wanajeshi wake wameenda kuua raia kwa kuwamimina risasi vijana wapatao 165
Rais felix kipindi anaingia madarakani kakuta kongo ina ndege 4 na aka promis kuwa ataboresha company hiyo kwa kuwaongezea ndege leo kongo kuna ndege moja na tena yenyewe imeanza kuaribika na hakuna ndege ambayo imenunuliwa.
Felix kipindi anaingia madarakani kakuta dollars 1 ni sawa na 1500 fc congolais.
Leo dollars moja ni sawa 2400 fc congolais
Felix kipindi anaingia madarakani ali promis kwa miaka 5 atajenga hospital 500 na kila.
Kujenga shule 600 leo wakongo wenyewe tunajua
Felix ali promis umeme mpaka vijijini wenyewe mnajua
Felix ali promis kufanya kongo kuwa ujereman ya afrika
Felix ali promis elimu bure na matibabu bure
Felix ali promis kuanza kulipa wa mama wanao zaa kila mama dollar 50
Felix ali promis kujenga universities 10 kubwa ndani ya nchi
Felix ali promis kuleta usafiri wa train kivu mashariki
Ila alicho kiweza ni kusafiri
Mwisho wenyewe mnajua kwasasa yeyote anaye kumbusha ahadi hizo za rais anageuka kuwa mgeni sio mtoto wa nchi