Rais Felix Tchisekedi wa DRC awasili Nchini kwa Ziara ya Kiserikali ya Siku 4, kutembelea Bandari ya Dar es Salaam

The Sunk Cost Fallacy

JF-Expert Member
Dec 1, 2021
19,586
14,138
Habari za leo wana jukwaa,

Kama kichwa kinavyosomeka, Rais wa DRC amewasili nchini kupitia Zanzibar ambako atapumzika na kisha kuanza ziara rasmi ya kiserikali nchini ya siku 4.

Pamoja na mambo mengine atatembelea bandari ya Dar na kufanya mazungumzo na mwenyeji wake Rais Samia.

Ikumbukwe DRC ni tajiri kwa rasilimali na bandari ya Dar ndiyo lango lao kuu la kupitishia mizigo yao. 👇
20221022_094120.jpg
 
Hakika chini ya Rais mama samia Tanzania kwa Sasa Ni kimbilio na chaguo la kwanza kwa kila mtu mwenye kuhitaji ushirikiano wenye tija, Heshima ya Tanzania kwa Sasa Ni kubwa Sana baada ya Rais Samia kuimarisha Diplomasia yetu, Fursa Ni nyingi Sana zinazoendelea kumiminika hapa nchini Maana hapo najuwa lazima kutafanyika mazungumzo yatakayo wahakikishia wakongo huduma Bora na ya uhakika wapitishapo bidhàa zai katika bandari yetu ya Dar es salaam
 
Hakika chini ya Rais mama samia Tanzania kwa Sasa Ni kimbilio na chaguo la kwanza kwa kila mtu mwenye kuhitaji ushirikiano wenye tija, Heshima ya Tanzania kwa Sasa Ni kubwa Sana baada ya Rais Samia kuimarisha Diplomasia yetu, Fursa Ni nyingi Sana zinazoendelea kumiminika hapa nchini Maana hapo najuwa lazima kutafanyika mazungumzo yatakayo wahakikishia wakongo huduma Bora na ya uhakika wapitishapo bidhàa zai katika bandari yetu ya Dar es salaam
Saizi sasa Tanzania ndio imepata Rais ,miaka 5 iliyopita tulikuwa na futuhi na mgonjwa aliyekimbia mirembe.
 
Saizi sasa Tanzania ndio imepata Rais ,miaka 5 iliyopita tulikuwa na futuhi na mgonjwa aliyekimbia mirembe.
Unajitia dole mwenyewe kisha unatia puani mwenyewe. Umetoa records ya namna mizigo ilivyokuwa inaongezeka kutoka 2017 mpaka 2021. Ukitoa 2020 ambapo nchi nyingi zilikuwa kwenye caranteen.

Sasa unajua kwa nini kumekuwa na ongezeko? Ni jitihada za Magufuli kuziongezea uwezo bandari ya Tanga, Dar na Mtwara. Tanga na Mtwara zilikufa. Dar ndugu zako walitaka kuiua kwa kuanzisha bagamoyo chini ya wachina.

Kazi kubwa kaifanya huyo unayemuita mgonjwa. Na we mwenyewe umeonyesha trend ya mizigo. Ndio maana nasema unajitia dole, unajinusa kisha unaziba pua mwenyewe.
 
Unajitia dole mwenyewe kisha unatia puani mwenyewe. Umetoa records ya namna mizigo ilivyokuwa inaongezeka kutoka 2017 mpaka 2021. Ukitoa 2020 ambapo nchi nyingi zilikuwa kwenye caranteen.

Sasa unajua kwa nini kumekuwa na ongezeko? Ni jitihada za Magufuli kuziongezea uwezo bandari ya Tanga, Dar na Mtwara. Tanga na Mtwara zilikufa. Dar ndugu zako walitaka kuiua kwa kuanzisha bagamoyo chini ya wachina.

Kazi kubwa kaifanya huyo unayemuita mgonjwa. Na we mwenyewe umeonyesha trend ya mizigo. Ndio maana nasema unajitia dole, unajinusa kisha unaziba pua mwenyewe.
Kuna kazi nzito alikuwa akiifanya JPM hatukumuelewa kipindi kile. Anapokuja huyu rais na kufanya kikao cha kujadili biashara na TZ ndio tunaanza kumuelewa kwa kina.
 
Unajitia dole mwenyewe kisha unatia puani mwenyewe. Umetoa records ya namna mizigo ilivyokuwa inaongezeka kutoka 2017 mpaka 2021. Ukitoa 2020 ambapo nchi nyingi zilikuwa kwenye caranteen.

Sasa unajua kwa nini kumekuwa na ongezeko? Ni jitihada za Magufuli kuziongezea uwezo bandari ya Tanga, Dar na Mtwara. Tanga na Mtwara zilikufa. Dar ndugu zako walitaka kuiua kwa kuanzisha bagamoyo chini ya wachina.

Kazi kubwa kaifanya huyo unayemuita mgonjwa. Na we mwenyewe umeonyesha trend ya mizigo. Ndio maana nasema unajitia dole, unajinusa kisha unaziba pua mwenyewe.
Majitu design kama huyo nawenzake ni hasara kwa taifa.
 
Hao wakongo waipanue Matadi port ili waache kutegemea bandari za nchi jirani. Siku tukikorofishana, tutazuia mizigo yao inayopitia bandari ya Dar.
 
Hao wakongo waipanue Matadi port ili waache kutegemea bandari za nchi jirani. Siku tukikorofishana, tutazuia mizigo yao inayopitia bandari ya Dar.
Wana option ya Lobito Angola na Bandari za South Africa na Msumbiji.

Hata hivyo hatutegemei kupata Rais dizaini ya Mwendazake ndio alivuruga majirani.
 
Kuna kazi nzito alikuwa akiifanya JPM hatukumuelewa kipindi kile. Anapokuja huyu rais na kufanya kikao cha kujadili biashara na TZ ndio tunaanza kumuelewa kwa kina.
Hiyo Kazi nzito ndio ilikuwa hivi si ndio? Acheni ujinga nyie akili ndogo..

Angalia mwaka 2016 afu angalia miaka ya Mwendazake then uje na Mwaka 2021 wa Samia ndio uongee upuuzi wako hapa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221022-104911.png
    Screenshot_20221022-104911.png
    67.9 KB · Views: 1
  • Screenshot_20221022-105012.png
    Screenshot_20221022-105012.png
    68.1 KB · Views: 1
  • Screenshot_20221022-104603.png
    Screenshot_20221022-104603.png
    139.2 KB · Views: 1
Majitu design kama huyo nawenzake ni hasara kwa taifa.
Kama huna Takwimu usi make argument na mimi utaumbuka mimi sio muimba pambio kama nyie wajinga..

Majitu dizaini ya huyu Mwendazake aliyesababisha haya unamuitaje? 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221022-104911.png
    Screenshot_20221022-104911.png
    67.9 KB · Views: 1
  • 2022030133155.jpg
    2022030133155.jpg
    95.5 KB · Views: 1
  • Screenshot_20220512-130134.png
    Screenshot_20220512-130134.png
    99.9 KB · Views: 1
Unajitia dole mwenyewe kisha unatia puani mwenyewe. Umetoa records ya namna mizigo ilivyokuwa inaongezeka kutoka 2017 mpaka 2021. Ukitoa 2020 ambapo nchi nyingi zilikuwa kwenye caranteen.

Sasa unajua kwa nini kumekuwa na ongezeko? Ni jitihada za Magufuli kuziongezea uwezo bandari ya Tanga, Dar na Mtwara. Tanga na Mtwara zilikufa. Dar ndugu zako walitaka kuiua kwa kuanzisha bagamoyo chini ya wachina.

Kazi kubwa kaifanya huyo unayemuita mgonjwa. Na we mwenyewe umeonyesha trend ya mizigo. Ndio maana nasema unajitia dole, unajinusa kisha unaziba pua mwenyewe.
Jpm aliharibu hii nchi acha ubishi.
 
Jpm aliharibu hii nchi acha ubishi.
😁😁😁😁 Bahati nzuri Takwimu zipo na nawapa ila wanajifanya hawaoni 😜😜..

Uwa harass matajiri utegemee kuwe na uwekezaji? Hakuna mwenye pesa anaweza fanya huo utaahira Ili aporwe pesa zake..

Baada ya Hali kuwa mbaya alianza kubembeleza kina Rostam alioita majizi na kina Mo kwenye sukari walau waokoe jahazi..

Kwanza Mungu alimuwahisha coz anawapenda watz ila angeachwa hadi saizi Nchi ingeporomoka maana alikuwa na kiburi na haelewi hata jinsi ya Kusimamia uchumi..

Anaebisha aje atuambie zile kelele za biashara kufungwa Kariakoo mnazisikia tena?
 
Back
Top Bottom