- Ni yeye pekee mwenye uchungu wa kweli na umasikini wa Watanzania.
- Ni yeye pekee mwenye kuyaelewa matatizo na umasikini wetu unasababishwa na nini.
- Ni yeye pekee asiye na urafiki na wala rushwa hata ukimtazama usoni anaonyesha anavyoichukia rushwa.
- Ni mkweli siku zote na ameusimamia ukweli
- Ni yeye pekee anayechukiwa sana na chama cha magamba kutokana na umahiri wake wa kujenga haja.
- Ni yeye pekee mwenye uwezo wa kuawashughulikia wenye magamba.
- Ni mzalendo aliyejipambanua kuwa na mazalendo kwa nchi yake.
- Ni yeye pekee anayeungwa mkona vijana na wasomi wengi
- Ni mchapa kazi si kilaza
- Ni mtu anayetafuta maarifa kwa biidii zote hasa kwa kujisomea kwa bidii kubwa
TANZANIA NI NCHI YANGU SLAA NI RAIS WANGU ALIYE MOYONI