Rais 2015 ni Prof.Lipumba toka CUF

Yaani wewe ni CHIZIIIIIIIIIIIIIIIIIIII Km siyo chizi, basi we MAHUTUTI, NA upo ktk hali ya KOMA.
Yaani, hujitambuiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Na admire kuto kukata tamaa kwa mashabiki wa huyu mtu aisee. CUF ilisha kufa 2010 lakini bado kuna mashabiki wanao jipa moyo kuwa ita fufuka.
 
Nimesema hivi! Kama hamtaki acheni! Lakini huo ndio ukweli!Mbinu zote za CDM tunazijua na ndio maana kwa mbinu iliyotumiwa kuingiza imani katika vichwa vyenu na kuwafanya kuwa vipofu! Mbinu mliyotumia kuiangamiza ndio mbinu itakayowamaliza kwani hata bible inasema atakaye ua kwa upanga na yeye atauawa kwa upanga! CDM imekamata wahariri wote! Hivyo CDM acheni kujipa matumaini kwani siku sionyingi CDM itaporomoka kutokana na uozo uliomo ndani!
 
Nimesema hivi! Kama hamtaki acheni! Lakini huo ndio ukweli!Mbinu zote za CDM tunazijua na ndio maana kwa mbinu iliyotumiwa kuingiza imani katika vichwa vyenu na kuwafanya kuwa vipofu! Mbinu mliyotumia kuiangamiza ndio mbinu itakayowamaliza kwani hata bible inasema atakaye ua kwa upanga na yeye atauawa kwa upanga! CDM imekamata wahariri wote! Hivyo CDM acheni kujipa matumaini kwani siku sionyingi CDM itaporomoka kutokana na uozo uliomo ndani!

Uamsho at work!
 
Bornvilla wewe unajulikana kwa udini, sound like an affiliate of Uamsho group
 
Yaani wewe ni CHIZIIIIIIIIIIIIIIIIIIII Km siyo chizi, basi we MAHUTUTI, NA upo ktk hali ya KOMA.
Yaani, hujitambuiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

ana matatizo mawili makubwa Cardiac arrest na brain concassion msamehe mwache aendelee na tiba, hope he will recover and come back to his senses!
 
Naona ataendelea kuwa mgombea pumba wa kila uchaguzi. Na mtaendelea sana tu kumpokea pale uwanja wa ndege Dsm, kila anaporudi kutoka UK kwenye semina za uchumi hewa.
 
Nimesema hivi! Kama hamtaki acheni! Lakini huo ndio ukweli!Mbinu zote za CDM tunazijua na ndio maana kwa mbinu iliyotumiwa kuingiza imani katika vichwa vyenu na kuwafanya kuwa vipofu! Mbinu mliyotumia kuiangamiza ndio mbinu itakayowamaliza kwani hata bible inasema atakaye ua kwa upanga na yeye atauawa kwa upanga! CDM imekamata wahariri wote! Hivyo CDM acheni kujipa matumaini kwani siku sionyingi CDM itaporomoka kutokana na uozo uliomo ndani!

Lipumba mwenyewe anajua hawezi kuwa Rais, alafu keshaolewa na CCM na wewe unataka ndoa kwake, ALL THE BEST.
 
hivi cuf hakuna mtu mwingine wa kugombea tofauti na prof...kila siku yeye tuuuuu..tumemchoka!!!!!! tunataka watu wapya wakuuuuuuuu
 
Back
Top Bottom