CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
Imebidi niwambie ukweli acheni ushabiki mkiwa kazini. Jana mlionyesha wazi kuwa kuegemea upande wa CCM-nyinyi ni wanachama/wapenzi wa CCM.
Masako ulipoanza tu kutangaza matokeo ya awali wakati CDM wanashinda , ulisinyaa sana lugha ilikuwa ya CDM kura kadhaa, CCM kura kadhaa. Awamu ya pili yakaja matokeo ya CCM kushinda ukabadilisha lugha na kuwa ya ushabiki na kusema CCM yazoa kura, CCM yajizolea kura.
Na wa Mwanza hivyo hivyo alilaumu sana mitandao ya kijamii kuwa imetangaza CDM kuongoza, ukisema bado vituo vingi. Jinyonge basi !!!!
Masako ulipoanza tu kutangaza matokeo ya awali wakati CDM wanashinda , ulisinyaa sana lugha ilikuwa ya CDM kura kadhaa, CCM kura kadhaa. Awamu ya pili yakaja matokeo ya CCM kushinda ukabadilisha lugha na kuwa ya ushabiki na kusema CCM yazoa kura, CCM yajizolea kura.
Na wa Mwanza hivyo hivyo alilaumu sana mitandao ya kijamii kuwa imetangaza CDM kuongoza, ukisema bado vituo vingi. Jinyonge basi !!!!