mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,867
- 8,271
Nimekuwa najiuliza kwanini Jubilee kila wakati wanakuwa wa pili kufanya mambo yao baada ya CORD kuanza,kwanza walikuwa ni CORD pale Uhuru kuonyesha viongozi wakuu wa huo muungano,baadaye ndio wakaja Jubilee pale Kasarani,haya ikawa kufanya uteuzi wa wagombea wa hiyo muungano kama kawaida CORD wakafanya siku iliyotakiwa lakini Jubilee wakafanya siku ya pili,basi na sasa manifesto CORD ni wa kwanza lakini Jubilee na miungano mingine bado,je hii bahati mbaya au ni mikakati ya kisiasa?mimi naona hao ambao wanagoja CORD aonyeshe njia hawafai kuongoza ,kwani kiongozi huwa wa kwanza kuwa frontline hata kama kuna jambo lolote hatarishi,na wakati wote mtu asie muoga ndio hufanikiwa na ndie huwa kiongozi bora kwani huonyesha njia hata kama hiyo njia ni ya hatari iliyojaa mambo ya hatari.