Zakamwamoba
Senior Member
- Jul 28, 2016
- 177
- 609
Wale raia wenzangu wazalendo tunaoitwa MATAGA kwa kuendelea kusimamia na kuamini maono ya hayati JPM tusiwe wanyonge.
Hiki ni kipindi cha mpito, acheni wabwatuke lakini muda si mrefu ukweli watajua nani ni mzalendo hasa wa nchi hii.
Yataibuka mambo mengi lengo ni kuharibu taaswira ya hayati, Kikubwa MATAGA wenzangu huu ni wakati wa kuonesha misimamo na kipindi hiki wasaliti wengi watajitokeza.
RIP JPM
Hiki ni kipindi cha mpito, acheni wabwatuke lakini muda si mrefu ukweli watajua nani ni mzalendo hasa wa nchi hii.
Yataibuka mambo mengi lengo ni kuharibu taaswira ya hayati, Kikubwa MATAGA wenzangu huu ni wakati wa kuonesha misimamo na kipindi hiki wasaliti wengi watajitokeza.
RIP JPM