ntagunga
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 654
- 256
Enhee? Warudishwe na hawa wa eng medium, tuwasakeHili bifu kila siku linachukua sura mpya.
Wakenya wengi maombi yao ya kufanya kazi Tz
yamekuwa Rejected.
Muda utasema!
Enhee? Warudishwe na hawa wa eng medium, tuwasakeHili bifu kila siku linachukua sura mpya.
Wakenya wengi maombi yao ya kufanya kazi Tz
yamekuwa Rejected.
Muda utasema!
Sisi hatuhangaiki na mataifa ya kijinga.Wenyewe mlijichokea kwenye vita dhidi ya corona na kuachia raia wenu wahangaike wenyewe na kuifanya corona iwe kama ugonjwa wa aibu kwenu kwamba mtu akiumwa corona analazimika kuficha na kutesekea kwa ndani, halafu mnataka mlazimishe kuingia nchi za watu. Nilipenda sana alichofanya Museveni, kawawekea jeshi kabisa mpakani, huo ndio uongozi uliodhamiria kulinda watu wake.
😅😅😅😅 Mkuu hii nimefrahi sana yaani katika vitu wakenya waliwahi kupatia ni hiliSafi sana hii, tutaona nani ni mwanaume katika ukanda huu, hahahaha, hahaha
Baada ya kuja korona na kuingia uchumi wa Kati mchawi amejulukana wazi wazi Zamani alikua anang'ata na kupuliza sasa hivi sura kakunja kweri mwenyezimungu hamfichi mnafiki.Hii inaonyesha dhahiri kwamba ishu hapa si Corona. Ingawa corona Imewekwa Kama sababu
Mkuu nitake radhi. Yaani mie wa kunipa uraia wa nchi yenye corona? Niombe radhi.Tarehe 22 nakualika ktk Simba day na jamaa zako watakuwepo wanakula raha tu ktk nchi ya asili na maziwa Onyongo Kahata, sasa angalia ndani ya mkapa stadium ninayochukua watu zaid ya elfu60 hapo ndio utajua kama Corona ipo au haipo na sio mara ya kwanza
Tarehe 22 nakukaribisha ktk Simba Day na jamaa zako watakuwepo wanakula raha tu ktk nchi ya asili na maziwa Onyongo Kahata, sasa angalia ndani ya mkapa stadium inayochukua watu zaid ya elfu60 hapo ndio utajua kama Corona ipo au haipo na sio mara ya kwanza weWenyewe mlijichokea kwenye vita dhidi ya corona na kuachia raia wenu wahangaike wenyewe na kuifanya corona iwe kama ugonjwa wa aibu kwenu kwamba mtu akiumwa corona analazimika kuficha na kutesekea kwa ndani, halafu mnataka mlazimishe kuingia nchi za watu. Nilipenda sana alichofanya Museveni, kawawekea jeshi kabisa mpakani, huo ndio uongozi uliodhamiria kulinda watu wake.
Nimeifuta mkuu ilikua ya huyo MK254 nikakozeaMkuu nitake radhi. Yaani mie wa kunipa uraia wa nchi yenye corona? Niombe radhi.
Kuhusu mwaliko, mie mwananchi siwezi kuja kuona shoo ya watu wanasubiri pension. Unadhani kwa nini mmealika Vital O no 6 badala ya Mesenger Ngozi no 1 au hata Musongati no 2?
Mnataka kuficha aibu ya wazee wenuView attachment 1542614
Mkuu, kwa kuwa kenya inazuia watanzania kuingia kenya, soon tutafuta working permit za nyang'au waliopo nchini mwetu. Huyo babu lzm tumrejeshe Kenya, Kahata tutamfikiriaTarehe 22 nakukaribisha ktk Simba day na jamaa zako watakuwepo wanakula raha tu ktk nchi ya asili na maziwa Onyongo Kahata, sasa angalia ndani ya mkapa stadium inayochukua watu zaid ya elfu60 hapo ndio utajua kama Corona ipo au haipo na sio mara ya kwanza we
Nyie na viongozi wenu ni malofa tu.Wenyewe mlijichokea kwenye vita dhidi ya corona na kuachia raia wenu wahangaike wenyewe na kuifanya corona iwe kama ugonjwa wa aibu kwenu kwamba mtu akiumwa corona analazimika kuficha na kutesekea kwa ndani, halafu mnataka mlazimishe kuingia nchi za watu. Nilipenda sana alichofanya Museveni, kawawekea jeshi kabisa mpakani, huo ndio uongozi uliodhamiria kulinda watu wake.
Hii ilikua kweli inafaa ila tutaumiza timu zetu pia wakati madhara Kwa Kenya yakiwa machache mbona mkuu hawa kuna sehemu nyingi tu za kuwatekenya ambazo inaumia moja Kwa moja serikali yao, tusishughulike na mbwa mkuu tumminye mwenye mbwa.Mkuu, kwa kuwa kenya inazuia watanzania kuingia kenya, soon tutafuta working permit za nyang'au waliopo nchini mwetu. Huyo babu lzm tumrejeshe Kenya, Kahata tutamfikiria
Ha ha ha tutawarudisha au tuwapandishie kodiHii ilikua kweli inafaa ila tutaumiza timu zetu pia wakati madhara Kwa Kenya yakiwa machache mbona mkuu hawa kuna sehemu nyingi tu za kuwatekenya ambazo inaumia moja Kwa moja serikali yao, tusishughulike na mbwa mkuu tumminye mwenye mbwa
Vyakula vya kaskazini vikiwekewa Sera nzuri za masoko ya kusini halafu kukawekewa vizingiti vya bei ya juu ya Kodi Kwa magai yanayoenda Kenya tutakua tumeigusa moja Kwa moja serikali mkuu.Poa poa