denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,511
- 68,150
Jibu hoja wacha mipasho, wapi mambo ya serikali aliyosema huyo Rage wenu yanatakiwa kupelekwa kusikilizwa?Umetuthibitishia cheo cha mbumbumbu Mkuu ulichotunukiwa ulistahili
Jibu hoja wacha mipasho, wapi mambo ya serikali aliyosema huyo Rage wenu yanatakiwa kupelekwa kusikilizwa?Umetuthibitishia cheo cha mbumbumbu Mkuu ulichotunukiwa ulistahili
Usilete habari ya Morisson hapa ambayo nayo mlipigwa, tueleze, hayo mambo ya serikali anayosema Rage kwenye mkataba wa Fei yalifuata nini?Kipindi kesi ya Morrison lilikuwa sio shirikisho la kihuni leo hii limekuwa shirikisho la kihuni! Rage ajengewe sanamu
Nonsense.Wewe Mbumbumbu ungetutajia hivyo vifungu ambavyo vinambeba huyo mjinga mwenzako kumbe na wewe una payuka tu
Huna uwezo wa kuchambua alichosema Rage kama kina mantiki au hapana, kwako muhimu Rage ameongea basi roho yako kwatuu huu sio umbumbumbu, ni.zaidi.Moja ya watu wasiojua kupepesa macho ni huyu Ismail Aden Rage. Kama wewe ni mbumbumbu, anakuambia waziwazi!
Bila shaka wale wapuuzi wanaompambisha huyo dogo, wana cha kujifunza kupitia huo ushauri wake.
Nyie viumbe wote nimewauliza.maswali, kama mnaubavu kila mmoja wenu ajibu swali lake nililompa, kumbe utopolo mmeshikiwa akili na Rage, kama akikosea, nanyi wote anawatumbukiza shimoni.Bado naendelea kuamini Rage yupo sahihi kuhusu makolo
Mpka hili sakata liishe utakua umepungua uzitoNonsense.
Usimshauri Fei ujinga, unalazimisha Fei arudi Yanga kijanja, mmefanikiwa kuwarubuni wale matapeli wa TFF wanatosha, huo ndio mwisho wenu, sheria ipo wazi na haihitaji kutafuta ushauri wa wazee, hayo sio mambo ya kimila.Juzi katika moja ya michango yangu hapa nilimshauri Feisal amtafute mzee yeyote anaejua masuala ya mpira na mwenye busara kama Ragge au Tenga ili amshauri. Ni jambo jema mzee Ragge analiona jambo hili kama tunavyo liona sisi watu "wazima".
Kitendo cha wakili wake kukili kwamba Feisal atakaa nje ya uwanja muda mrefu na kudai kwamba wako tayari mteja wao kulipa gharama hizo za kukaa nje ya uwanja maadam wanatafuta haki; nimemwona ni wakili mpuuzi sana. Hakuna sababu ya mtu mwenye akili timamu kumuua panya aliye kwenye kabati lako la nguo kwa bastola. Hili suala asipopata washauri wazuri litampoteza
Hamna kitu napenda kama kuwabana utopolo kwenye kona, najua mmenuna na siwaachii.Mpka hili sakata liishe utakua umepungua uzito
1: Million 112 amezipata wapi? Nani kampa?Jibu hoja wacha mipasho, wapi mambo ya serikali aliyosema huyo Rage wenu yanatakiwa kupelekwa kusikilizwa?
Kuna kesi ya utakatishaji fedha1: Million 112 amezipata wapi? Nani kampa?
Alipewa taslimu au kupitia akaunti? Kama taslimu ni kosa lingine la kukwepa ulipaji kodi.
Kodi ya miamala.
2: Nani yupo nyuma yake ( 3rd party). Mawasiliano ya simu. Au imekuwa faragha?
Hapo kesi ya jinai itaanzia hapo.
Hoja zipi kama una hoja za maana kampe feisal ili ashinde kumbuka ameshagonga mwamba TFF alafu acha gubu mtoto WA kiume unaminyana na mambo amabayo ni wazi hayawezekaniHamna kitu napenda kama kuwabana utopolo kwenye kona, najua mmenuna na siwaachii.
Wenzenu baadhi wameshakimbia kwenye hii issue baada ya kuona kweli mnabebwa na TFF, nyie ndio mnajidai hamuoni aibu!
Hakuna hata mmoja kati yenu anayejibu hoja zangu, wote mmejaa makelele tu ya ushabiki.
Una hoja gani zaidi ya blah blah? Sasa huyo unae mtetea hatokaa acheze mpka 2024Hamna kitu napenda kama kuwabana utopolo kwenye kona, najua mmenuna na siwaachii.
Wenzenu baadhi wameshakimbia kwenye hii issue baada ya kuona kweli mnabebwa na TFF, nyie ndio mnajidai hamuoni aibu!
Hakuna hata mmoja kati yenu anayejibu hoja zangu, wote mmejaa makelele tu ya ushabiki.
Kwanza dogo anatakiwa kushukuru mpaka muda huu hajafunguliwa kesi ya uhujumu uchumi, na utakatishaji wa fedha.1: Million 112 amezipata wapi? Nani kampa?
Alipewa taslimu au kupitia akaunti? Kama taslimu ni kosa lingine la kukwepa ulipaji kodi.
Kodi ya miamala.
2: Nani yupo nyuma yake ( 3rd party). Mawasiliano ya simu. Au imekuwa faragha?
Hapo kesi ya jinai itaanzia hapo.
Kwani Fei kakosea wapi na kifungu kipi??!Juzi katika moja ya michango yangu hapa nilimshauri Feisal amtafute mzee yeyote anaejua masuala ya mpira na mwenye busara kama Ragge au Tenga ili amshauri. Ni jambo jema mzee Ragge analiona jambo hili kama tunavyo liona sisi watu "wazima".
Kitendo cha wakili wake kukili kwamba Feisal atakaa nje ya uwanja muda mrefu na kudai kwamba wako tayari mteja wao kulipa gharama hizo za kukaa nje ya uwanja maadam wanatafuta haki; nimemwona ni wakili mpuuzi sana. Hakuna sababu ya mtu mwenye akili timamu kumuua panya aliye kwenye kabati lako la nguo kwa bastola. Hili suala asipopata washauri wazuri litampoteza
tatizo kijana anaota ndoto huku anatembea...short cut alwayz wrong cutFei nenda kokote unapoona haki yako itapatikana acha na wasaliti wa ndoto za vijana
Unaongelea vifungu utafikiri umeuona mkataba wote.Kwani Fei kakosea wapi na kifungu kipi??!
Itakua ni chaguo lake mwenyewenaona mnataka fei aishie kuuza mishikaki kama kipanya malapa