Rage: Fei Toto akienda CAS ni kupoteza muda wake tu

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
3,734
6,292
Moja kwa moja kweye maudhui:

Mwenyekiti wa zamani wa Simba Ismail Aden amemuonya mchezaji Feisal Salum Fei Toto akikata rufaa Mahakama ya usuluhishi ya FIFA (CAS) atakuwa anapoteza muda tu.

Badala yake, Rage amemtaka Fei Toto akae chini tu na Yanga na awe mpole badala ya hiki anachojaribu kukimbilia CAS kwani maamuzi ya Kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji kuwa yeye ni mchezaji halali wa Yanga hayawezi kutenguliwa huko.

“Unapotaka kufungua kesi CAS kwanza uwe na hakika sheria za FIFA zimevunjwa, sasa hili la Fei hakuna sheria za FIFA zilizovunjwa bali sheria zilizovunjwa ni za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania”- Rage

Huko atapoteza muda na anaweza kuadhibiwa zaidi maana kwanza kabla ya kufungua kesi unatakiwa uweke kama dola Elfu 10 (Sh Milioni 23 za Tanzania) tena hiyo uwe na uhakika kama utashinda, ukishindwa adhabu yake inaweza kuwa kubwa kwake Fei, hivyo awe makini na wale wanaomshauri” -Rage.
 
Kuweka kumbukumbu sawa huyo ndio the founder wa jina la mbumbumbu fc
_.jpg
 
Iyo kesi Kwa kupitia njia za panya Fei anaweza akashinda ila atatumia muda mwingi na gharama za ushindi Kwa njia za panya hazipungui Dola 200,000, zaidi ya milioni 400 za Tanzania.

Kwanjia ya kawaida ni zuzutu atakaye amini Fei Toto atashinda kesi hiyo.

Maana Ili ashinde iyo kesi Kwa njia hizo haramu inabidi apate ushirikiano kuanzia pale Tff Kwa baadhi ya watendaji muhimu.
 
Iyo kesi Kwa kupitia njia za panya Fei anaweza akashinda ila atatumia muda mwingi na gharama za ushindi Kwa njia za panya hazipungui Dola 200,000, zaidi ya milioni 400 za Tanzania.

Kwanjia ya kawaida ni zuzutu atakaye amini Fei Toto atashinda kesi hiyo.
Maana Ili ashinde iyo kesi Kwa njia hizo haramu inabidi apate ushirikiano kuanzia pale Tff Kwa baadhi ya watendaji muhimu.
Naona sasa matumaini yenu yanaegemea kwenye gharama za kufungua kesi CAS, simply mmeshalegea kwenye hili.

Naamini hii ndio sababu mliyokubaliana na TFF na yule mwanasiasa mfanye hivyo ili kumkomoa mchezaji, mkijua atapoteza muda wake, na itamlazimu kuingia gharama za kufungua kesi, sasa mmebakiwa na njia za kihuni tu, mkisaidiwa na shirikisho la wahuni.

Paragraph yako ya pili imeonesha vile mnategemea ushirikiano toka kwa watendaji wa TFF kwa manufaa yenu, mnaendelea kujivua nguo.
 
Rage anazeeka vibaya...

Anapokiri sheria za JMT zimevunjwa [ japo hajazitaja] alitaka hiyo kesi ipelekwe mahakama za kawaida? hajui kama masuala ya mpira huwa hayapelekwi huko?

Kama angekuwa na akili timamu kwenye hili, angetuambia, hayo masuala yake ya serikali alitaka yapelekwe mahakama gani?
lakini kulazimisha Fei na Yanga wakae chini milele ili kuyamaliza ni umbumbumbu wake tu wa sheria.

Rage anadhani kile kigugumizi walichokuwa nacho TFF kwenye kutangaza maamuzi ya hilo shauri hakikuwa na sababu, kama mambo yangekuwa mepesi kama anavyodhani, basi TFF wangetuambia Fei amevunja vifungu vipi kwenye mkataba wake na utopolo, lakini walipokaa kimya na kuja na taarifa nusu nusu, mwambieni Rage atulie kwenye hili..
 
Rage anazeeka vibaya...

Anapokiri sheria za JMT zimevunjwa [ japo hajazitaja] alitaka hiyo kesi ipelekwe mahakama za kawaida? hajui kama masuala ya mpira huwa hayapelekwi huko?

Kama angekuwa na akili timamu kwenye hili, angetuambia, hayo masuala yake ya serikali alitaka yapelekwe mahakama gani?
lakini kulazimisha Fei na Yanga wakae chini milele ili kuyamaliza ni umbumbumbu wake tu wa sheria.

Rage anadhani kile kigugumizi walichokuwa nacho TFF kwenye kutangaza maamuzi ya hilo shauri hakikuwa na sababu, kama mambo yangekuwa mepesi kama anavyodhani, basi TFF wangetuambia Fei amevunja vifungu vipi kwenye mkataba wake na utopolo, lakini walipokaa kimya na kuja na taarifa nusu nusu, mwambieni Rage atulie kwenye hili..
Umetuthibitishia cheo cha mbumbumbu Mkuu ulichotunukiwa ulistahili
 
Moja kwa moja kweye maudhui:

Mwenyekiti wa zamani wa Simba Ismail Aden amemuonya mchezaji Feisal Salum Fei Toto akikata rufaa Mahakama ya usuluhishi ya FIFA (CAS) atakuwa anapoteza muda tu.

Badala yake, Rage amemtaka Fei Toto akae chini tu na Yanga na awe mpole badala ya hiki anachojaribu kukimbilia CAS kwani maamuzi ya Kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji kuwa yeye ni mchezaji halali wa Yanga hayawezi kutenguliwa huko.

“Unapotaka kufungua kesi CAS kwanza uwe na hakika sheria za FIFA zimevunjwa, sasa hili la Fei hakuna sheria za FIFA zilizovunjwa bali sheria zilizovunjwa ni za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania”- Rage

Huko atapoteza muda na anaweza kuadhibiwa zaidi maana kwanza kabla ya kufungua kesi unatakiwa uweke kama dola Elfu 10 (Sh Milioni 23 za Tanzania) tena hiyo uwe na uhakika kama utashinda, ukishindwa adhabu yake inaweza kuwa kubwa kwake Fei, hivyo awe makini na wale wanaomshauri” -Rage.
Moja ya watu wasiojua kupepesa macho ni huyu Ismail Aden Rage. Kama wewe ni mbumbumbu, anakuambia waziwazi!

Bila shaka wale wapuuzi wanaompambisha huyo dogo, wana cha kujifunza kupitia huo ushauri wake.
 
Naona sasa matumaini yenu yanaegemea kwenye gharama za kufungua kesi CAS, simply mmeshalegea kwenye hili.

Naamini hii ndio sababu mliyokubaliana na TFF na yule mwanasiasa mfanye hivyo ili kumkomoa mchezaji, mkijua atapoteza muda wake, na itamlazimu kuingia gharama za kufungua kesi, sasa mmebakiwa na njia za kihuni tu, mkisaidiwa na shirikisho la wahuni.

Paragraph yako ya pili imeonesha vile mnategemea ushirikiano toka kwa watendaji wa TFF kwa manufaa yenu, mnaendelea kujivua nguo.
Kipindi kesi ya Morrison lilikuwa sio shirikisho la kihuni leo hii limekuwa shirikisho la kihuni! Rage ajengewe sanamu
 
Rage anazeeka vibaya...

Anapokiri sheria za JMT zimevunjwa [ japo hajazitaja] alitaka hiyo kesi ipelekwe mahakama za kawaida? hajui kama masuala ya mpira huwa hayapelekwi huko?

Kama angekuwa na akili timamu kwenye hili, angetuambia, hayo masuala yake ya serikali alitaka yapelekwe mahakama gani?
lakini kulazimisha Fei na Yanga wakae chini milele ili kuyamaliza ni umbumbumbu wake tu wa sheria.

Rage anadhani kile kigugumizi walichokuwa nacho TFF kwenye kutangaza maamuzi ya hilo shauri hakikuwa na sababu, kama mambo yangekuwa mepesi kama anavyodhani, basi TFF wangetuambia Fei amevunja vifungu vipi kwenye mkataba wake na utopolo, lakini walipokaa kimya na kuja na taarifa nusu nusu, mwambieni Rage atulie kwenye hili..
Wewe Mbumbumbu ungetutajia hivyo vifungu ambavyo vinambeba huyo mjinga mwenzako kumbe na wewe una payuka tu
 
Rage anazeeka vibaya...

Anapokiri sheria za JMT zimevunjwa [ japo hajazitaja] alitaka hiyo kesi ipelekwe mahakama za kawaida? hajui kama masuala ya mpira huwa hayapelekwi huko?

Kama angekuwa na akili timamu kwenye hili, angetuambia, hayo masuala yake ya serikali alitaka yapelekwe mahakama gani?
lakini kulazimisha Fei na Yanga wakae chini milele ili kuyamaliza ni umbumbumbu wake tu wa sheria.

Rage anadhani kile kigugumizi walichokuwa nacho TFF kwenye kutangaza maamuzi ya hilo shauri hakikuwa na sababu, kama mambo yangekuwa mepesi kama anavyodhani, basi TFF wangetuambia Fei amevunja vifungu vipi kwenye mkataba wake na utopolo, lakini walipokaa kimya na kuja na taarifa nusu nusu, mwambieni Rage atulie kwenye hili..
Bado naendelea kuamini Rage yupo sahihi kuhusu makolo
 
Juzi katika moja ya michango yangu hapa nilimshauri Feisal amtafute mzee yeyote anaejua masuala ya mpira na mwenye busara kama Ragge au Tenga ili amshauri. Ni jambo jema mzee Ragge analiona jambo hili kama tunavyo liona sisi watu "wazima".

Kitendo cha wakili wake kukili kwamba Feisal atakaa nje ya uwanja muda mrefu na kudai kwamba wako tayari mteja wao kulipa gharama hizo za kukaa nje ya uwanja maadam wanatafuta haki; nimemwona ni wakili mpuuzi sana. Hakuna sababu ya mtu mwenye akili timamu kumuua panya aliye kwenye kabati lako la nguo kwa bastola. Hili suala asipopata washauri wazuri litampoteza
 
Back
Top Bottom