sweetdada
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 517
- 169
Huyo jamaa kama ana wasiwasi ushauri ni kufanya DNA tu ili kila kitu kiwe wazi.
Ila inawezekana pia huyo mtoto ni wake, watoto wachanga hubadilika, si rahisi kiivyo kujua kama ni mchina/mkorea and the like
Jamani am speaking from my own exoerience here..mimi nilivyozaliwa mama yangu nusu afukuzwe wakidhani mie ni mwarabu, ila jinsi siku zilivyozidi kwenda ndivyo nilivyozidi kubadilika na nikafanana haswaa na upande wa baba yangu na si mwarabu tena..
kwahiyo huyo mwana yawezekana ni wa huyo jamaa,wampe muda na kila kitu kitakuwa wazi
Ila inawezekana pia huyo mtoto ni wake, watoto wachanga hubadilika, si rahisi kiivyo kujua kama ni mchina/mkorea and the like
Jamani am speaking from my own exoerience here..mimi nilivyozaliwa mama yangu nusu afukuzwe wakidhani mie ni mwarabu, ila jinsi siku zilivyozidi kwenda ndivyo nilivyozidi kubadilika na nikafanana haswaa na upande wa baba yangu na si mwarabu tena..
kwahiyo huyo mwana yawezekana ni wa huyo jamaa,wampe muda na kila kitu kitakuwa wazi