Rafiki yangu yuko njia panda nimeshidwa kumsaidia

Huyo jamaa kama ana wasiwasi ushauri ni kufanya DNA tu ili kila kitu kiwe wazi.
Ila inawezekana pia huyo mtoto ni wake, watoto wachanga hubadilika, si rahisi kiivyo kujua kama ni mchina/mkorea and the like
Jamani am speaking from my own exoerience here..mimi nilivyozaliwa mama yangu nusu afukuzwe wakidhani mie ni mwarabu, ila jinsi siku zilivyozidi kwenda ndivyo nilivyozidi kubadilika na nikafanana haswaa na upande wa baba yangu na si mwarabu tena..
kwahiyo huyo mwana yawezekana ni wa huyo jamaa,wampe muda na kila kitu kitakuwa wazi
 
Huyo mtoto ni macho tu ndo yakikorea au kilakitu? Hapa inaituji subira kidogo nadhan kwa mwez M1 mtoto uwez pata sura yake vzur amsubirie kama 2month iv hapo mtoto ataonekana vizur ila kwa case ya macho. Ila kama ni chotara kabisa daa jib atakuwa nalo nin cha kufanya
 
wakuu JF , Rafiki yangu wa karibu sana na wa siku nyingi yupo kwenye matatizo makubwa . Miezi minne tu baada ya kufunga ndoa na shamrashamra nyingi sana za kukata na shoka .ilibidi atangaze ndoa haraka sana baada ya kugundua kuwa girlfriend wake alikuwa mjamzito , ndugu na jamaa walihudhuria kwenye harusi iliyofanyika kwenye ukumbi mmoja pale sabasaba.
TATIZO lilianzia last week tr 07.03.2011 baada ya mke wake kujifungua salama kwenye hospital moja inaitwa regency(i dont know iko wapi) mtoto kazaliwa ana macho kama ya wakorea but jamaa alivyonihadithia anadai nyumbani kwao demu kuna wafanyabiashara from asia something like that wamekodisha nyumba nzima wanaishi pale , so jamaa yuko njia panda kachanganyikiwa , na mama yake jamaa anataka kutoa laana kwa mshkaji kapewa 1 week amfukuze huyo msichana but tatizo linakuja kuwa jamaa kafunga ndoa tena kanisani(lutheran), na mwanamke anampango wa kujinyonga (kaahidi hivyo) kasema maisha yake yapo mikononi mwa jamaa manake akifukuzwa hana pa kwenda na yeye anadai hana kumbukumbu za kutembea na mtu wa asia /korean/chinese.
Na mwanamke mwenyewe ni mzaliwa wa Iringa.
Nimwemwambia jamaa kuwa sina la kumwambia so aamue mwenyewe.
"kweli duniani kuna mambo wajameni"

kwenye red kulikua na sababu ya kusema hivyo? msitudharirishe jaman. ushauri mwambie asimwambie kitu mke wake alee mtoto akiwa mkubwa aaaaaaaaahhhhha anajinafasi nae tu au sio wa kike?
 
My advice: Kitanda hakizai haramu

Ampokee na kumlea huyo mtoto, she's innocent and that mom in law should butt out of their lives, anatoa laana ya nini yeye msafi ?

Kama amempenda apende na kila kilicho chake...and lastly fellas tumwogope Mungu on insisting on DNA a scientific proof tht shows whether or not the kid is urs truly...people've been adversely affected especially the kids when results r in their favour and later in life they come to know of it

jifikirie vizuri nsiande!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom