Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,611
- Thread starter
- #181
Nyani Ngabu maatawi ya juu ..mfupa uliomshinda fisi inadamu nitauwezea wapi ndugu?Hahahah....kwa majibu yako tu, ni Nyani Ngabu pekee akuwezaye
Last edited by a moderator:
Nyani Ngabu maatawi ya juu ..mfupa uliomshinda fisi inadamu nitauwezea wapi ndugu?Hahahah....kwa majibu yako tu, ni Nyani Ngabu pekee akuwezaye
nina ujauzito tayari
ahahaaaa
Share with me hako kateknolojia, nimekapenda!nimeipata kwa bluetooth bana ziro distance but no kuinsert
kwa osmosis
wewe sio mstaarabu ama?..ila cheki date hapo
hongera kwa majibu na kwa kusubiri maana tarehe zinaonyesha ni tangu 2011.mimi ni mwanamke nina miaka 30 niko lonely sana jamani i wish niwe na rafiki wa kuinjoy jamani.awe sirias jamani ninatafuta rafiki wa kiume sio mpenzi wa mambo yafuatayo 1-jmosi tunaenda mlimani city kucheki movie 2-jpili kuogelea beach yeyote na kwenda church asubuhi 3-kushauriana mambo ya maisha 4-asilieleze mambo ya kungonoka 5-asiwe na mpenzi awe single kiukweli kama mimi 6-cost tutashare 7-awe na ka mvuto mrefu black mimi siko mzuri wala mbaya 8-awe na akili ya maisha 9-awe mstaarabu mpole 10- mimi elimu yangu ni ya chuo kikuu 11-awe available wkend zaid cause nafanya kazi 12 -napenda sana soka awe mpenzi wa arsenal na simba thanx wana jf leo nafunga application majibu hapahapa jf asanteni
Kanifanya nifikirie....kumbe hata mimi ndo mana sina marafiki maana wanaogopa kupita na mimi barabarani.
kwani wapenzi wa arsenal si wapo?Kwa dada mtoa uzi na watu wengine mnaotafuta mahusiano mnayoita serious. Try your level best usijilimit sana, jipe nafasi kubwa ya kuchagua. Na njia nzuri nadhani nikujielezea wewe ulivyo generally then waje wengi then uachie nafasi moyo wako utakapodondokea. Kama Smile ananikosa mimi sifa zote ninazo ila siyo mpenzi wa Arsenal timu ambayo haichukui makombe. Niishabikie ya nini? Yaani lisingekuwa sharti hilo mbona alishanipata.