The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,503
- 2,046
Akizungumza kwenye kipindi cha asubuhi katibu wa waagizaji wa mafuta anasema hao wanaosema mafuta yamefichwa hawasemi ukweli.
Anasema waliishauri serikali tangu January kwamba iongeze dollar ili kuongeza kiwango cha mafuta kinachoagizwa kutokana na kupanda kwa thamani ya Dola dhidi ya shilingi na kupanda kwa bei ya mafuta duniani, lakini serikali haikusikiliza badala yake wafanya biashara wakaanza kushusha kiwango cha kuagiza mafuta.
Mbali ya kushusha kiwango cha mafuta yanayoagizwa hali ya matumizi nchini imeongezeka Kwa zaidi ya 10% amedai Rafael.
Amesema aliyesema mafuta yapo ya kutosha siku 18 anahesabia hata mafuta yaliyo kwenye meli ambayo kimsingi bado ni ya supplier.
Tatizo la kukosekana Kwa mafuta linatokana na serikali kupuuza ushauri wa waagizaji walioitaka serikali iongeze dollar kwaajili ya kuagiza mafuta.
Zingine zote ni porojo tu.
Anasema waliishauri serikali tangu January kwamba iongeze dollar ili kuongeza kiwango cha mafuta kinachoagizwa kutokana na kupanda kwa thamani ya Dola dhidi ya shilingi na kupanda kwa bei ya mafuta duniani, lakini serikali haikusikiliza badala yake wafanya biashara wakaanza kushusha kiwango cha kuagiza mafuta.
Mbali ya kushusha kiwango cha mafuta yanayoagizwa hali ya matumizi nchini imeongezeka Kwa zaidi ya 10% amedai Rafael.
Amesema aliyesema mafuta yapo ya kutosha siku 18 anahesabia hata mafuta yaliyo kwenye meli ambayo kimsingi bado ni ya supplier.
Tatizo la kukosekana Kwa mafuta linatokana na serikali kupuuza ushauri wa waagizaji walioitaka serikali iongeze dollar kwaajili ya kuagiza mafuta.
Zingine zote ni porojo tu.