Radio station za bongo vipindi vingi vimejaa ma chawa tu

Covax

JF-Expert Member
Feb 15, 2021
6,277
21,455
Hamna kitu kinacho bowa kama FM radio station za bongo ni mwendo wa machawa kujipendekeza kwa wenye vyeo, kila kipindi ni kama talk show kama chating program, haziwezi kujenga jamii, nusu ya vipindi vyote ni vya michezo na wa sanii wa muziki, mpira asubuhi mpaka jioni, very boring radio station, hivi Tanzania haina professional Radio presenters? Ukiwa muongeaji kama mzaramo ndo unapewa kazi ?
 
Hamna kitu kinacho bowa kama FM radio station za bongo ni mwendo wa machawa kujipendekeza kwa wenye vyeo, kila kipindi ni kama talk show kama chating program, haziwezi kujenga jamii, nusu ya vipindi vyote ni vya michezo na wa sanii wa muziki, mpira asubuhi mpaka jioni, very boring radio station, hivi Tanzania haina professional Radio presenters? Ukiwa muongeaji kama mzaramo ndo unapewa kazi ?
How old are you...in case you are in your late 50s, nakushauri, keep tuning your favorite radio station TBC Taifa. Hizi redio zetu za sasa bila hao machawa hazitoboi. Mambo yamebadilika pakubwa na nilazima tubadilike nayo.
 
Hamna kitu kinacho bowa kama FM radio station za bongo ni mwendo wa machawa kujipendekeza kwa wenye vyeo, kila kipindi ni kama talk show kama chating program, haziwezi kujenga jamii, nusu ya vipindi vyote ni vya michezo na wa sanii wa muziki, mpira asubuhi mpaka jioni, very boring radio station, hivi Tanzania haina professional Radio presenters? Ukiwa muongeaji kama mzaramo ndo unapewa kazi ?
Hili tayari ni tatizo ndugu hii sio sawa kabisa radio zikitumika vizuri ni chombo muhimu katika kujenga jamii na kukuza maarifa ya taifa kwa ujumla lakini hivi sasa kinachofanyika ni aibu tu
 
How old are you...in case you are in your late 50s, nakushauri, keep tuning your favorite radio station TBC Taifa. Hizi redio zetu za sasa bila hao machawa hazitoboi. Mambo yamebadilika pakubwa na nilazima tubadilike nayo.
Whether yuko 50 or 90 yrs but he has the point, Tanzania kwenye hizi fm radios hakuna redio presenters. We only see and hear talk shows/vijiwe vya story. Juzi kwa mfano kuna redio moja yenye kipindi cha jioni nimesikia watangazaji ikionekana dhahiri wamekesha kwenye ulabu mpaka hata sauti ni ya kilevi kabisa. Sasa unajiuliza hizi radio huwa zina maafisa utumishi kweli? Kingine ni kwamba kwa kuwa radio hazina content za uhakika basi muda wote ni kupiga miziki na vipindi vya stories na mipira vireeefuu mpaka ina bore... Lastly hao wahusika majority hawana skills na ueledi wa kujua mambo.
 
Unatakiwa kufahamu kitu kimoja kwa sasa kuwa KILA KITU KINAENDA KIBIASHARA usitegemee radio au media flani kuwa chombo cha kuwajenga wanao au ndugu kimaadili labda media za KIDINI

Kila kitu pesa pesa na huko ndiko Dunia inakoenda.majanga matupu
 
Aisee huu ni ukweli sana, jamaa wanashindana kuwafurahisha wakubwa, na kusifia hata yasiyostahili.
 
Huwezi amino Mimi Nina mwaka wa Tano au sita nimeachana kabisa la local media nimejikita na bbc ,CNN, aljazeera,CBN news,NHK Japan nk ,CSB reality nk hizi za dar zilinishinda
 
Hamna kitu kinacho bowa kama FM radio station za bongo ni mwendo wa machawa kujipendekeza kwa wenye vyeo, kila kipindi ni kama talk show kama chating program, haziwezi kujenga jamii, nusu ya vipindi vyote ni vya michezo na wa sanii wa muziki, mpira asubuhi mpaka jioni, very boring radio station, hivi Tanzania haina professional Radio presenters? Ukiwa muongeaji kama mzaramo ndo unapewa kazi ?
Nilidhani ni mm mwenyewe naliona hili
 
Hamna kitu kinacho bowa kama FM radio station za bongo ni mwendo wa machawa kujipendekeza kwa wenye vyeo, kila kipindi ni kama talk show kama chating program, haziwezi kujenga jamii, nusu ya vipindi vyote ni vya michezo na wa sanii wa muziki, mpira asubuhi mpaka jioni, very boring radio station, hivi Tanzania haina professional Radio presenters? Ukiwa muongeaji kama mzaramo ndo unapewa kazi ?
Nakubaliana nawe, vipindi vingi ni fokafoka tu hamna pointi za maana zinazozungumzwa, kwasasa stesheni pekee yenye heshima ni BBC
 
"Content creators" ni janga katika nchi yetu.. Hatuheshimu weledi na ujuzi wa watu!!

Ruge Mutahaba alikuwa na uwezo wa kunusa "content" na kuiwasilisha kwa jamii.. Pia alikuwa mzuri wa kuunganisha vipaji na weledi katika kazi.

Asa hivi hao watu hatuna katika media House zetu. Ni full kubahatisha na kulazimisha mambo. Tunapoelekea redio zitakuwa replaced na social media platforms tu.
 
Nilisikiliza kipindi kimoja.cha michezo wasafi, mchambuzi anachambua mechi iliyopita ,afu anataja timu iliyoshinda ilikuwa singida, et sahiz inakikosi kipana inaweza kupata matokeo ata kama wachezaji wake wengine wako benchi,akataja mcheza mmoja aliekuwa benchi akucheza mechi, hiyo kumbe uyo mchezaji hiyo mechi alicheza na ndie alifunga goli la pili, aisee ndio nikajua hizi redio zina matahila wengi sana
 
Back
Top Bottom