Mhubiri anasema:
Eti TAJIRI anakubalika kwa KILA dini!
Ukitaka kuwa KIONGOZI wa nchi lazima uwe tajiri!
Watu watakuamini kutunza pesa zao!
Anatamani sana vijana wadogo wa Marekani walivyotengeneza mabilioni!
Anasoma Biblia gani huyu?
Anatumia/tafsiri mistari ya bible kama apendavyo yeye.
Halafu anabwagiza kwa "Bwana Asifiwe x3! Haleluya! Haleluya"
Tune In Sat 31.08.2013@13:00
Eti TAJIRI anakubalika kwa KILA dini!
Ukitaka kuwa KIONGOZI wa nchi lazima uwe tajiri!
Watu watakuamini kutunza pesa zao!
Anatamani sana vijana wadogo wa Marekani walivyotengeneza mabilioni!
Anasoma Biblia gani huyu?
Anatumia/tafsiri mistari ya bible kama apendavyo yeye.
Halafu anabwagiza kwa "Bwana Asifiwe x3! Haleluya! Haleluya"
Tune In Sat 31.08.2013@13:00