S sabufa Member Apr 21, 2013 26 4 May 25, 2013 #1 Ni kwa muda mrefu sasa radio Free Africa haipatikani katika mkoa wa Mbeya.Kuna tatizo gani?
A adolay JF-Expert Member Dec 8, 2011 12,101 14,479 May 25, 2013 #3 sabufa said: Ni kwa muda mrefu sasa radio Free Africa haipatikani katika mkoa wa Mbeya.Kuna tatizo gani? Click to expand... Mkuu ni kweli kabisa, hebu hawa wakuu watusaidie walau ufafanuzi tu. [MENTION]Yahya Mohammed[/MENTION] [MENTION]Dotto Bulendu[/MENTION]
sabufa said: Ni kwa muda mrefu sasa radio Free Africa haipatikani katika mkoa wa Mbeya.Kuna tatizo gani? Click to expand... Mkuu ni kweli kabisa, hebu hawa wakuu watusaidie walau ufafanuzi tu. [MENTION]Yahya Mohammed[/MENTION] [MENTION]Dotto Bulendu[/MENTION]
A adolay JF-Expert Member Dec 8, 2011 12,101 14,479 May 25, 2013 #4 Sabayi said: hata mimi nimeimiss sana Click to expand... Imeadimika sana [Mension]Yahaya mohammed[/Mension]
Sabayi said: hata mimi nimeimiss sana Click to expand... Imeadimika sana [Mension]Yahaya mohammed[/Mension]
the locksman JF-Expert Member May 5, 2012 1,101 350 May 25, 2013 #5 yaani shida tunakosa vipindi motomoto kama reggae ragga power. jamaa watupe information kama watarudi lini hewani.
yaani shida tunakosa vipindi motomoto kama reggae ragga power. jamaa watupe information kama watarudi lini hewani.