Radio Imani Morogoro mnakotupeleka hakufai. Mwisho wake mbaya sana!

Status
Not open for further replies.
Radio moja tu mnahaha nayo je zingekuwa nyingi kama zenu nadhani msingelala usingizi.

ukiona hauna redio nyingi, hamjasoma vya kutosha na hamna vyeo si kwasababu ya mfumo kristo... ni kwamba Allah kawachoka cheki hapa
TAQWA(UCHAMUNGU)-PART 01
FAIDA ZA TAQWA
"Na anayemwogopa (anayemcha) Mwenyezimungu;(Mwenyezimungu) humfanyia mambo yake kuwa mepesi"(QURAN 65:4)
NB;Mambo yenu yamekuwa magumu,kikubwa mmekosa uchamungu,na nguvu ya uislamu na waislamu haipo katika ufundi wa kuongea wala kupiga makelele mengi,nguvu na ushindi weno upo katika uchamungu,sala 5 hazipatikani,majumbani mwenu kutwa kucha miziki,wanawake wenu hawajisitiri,n.k msaada wa ALLAH hauji kwa watu waovu.
 
hata TV Yao ukiitizama inahamasisha wawaue wakristo, eti
hawana thamani mbele za mungu
don't be among those who curse Satan in public yet obey him in privacy..ndio unamuita mwenzako kafiri kafiri lakini maisha yenu hayana tofauti wote walevi,wote mna boy-friend/girl-friend,wote mnakula riba,wote mmeajiriwa sehemu ya kipato cha haramu.
jiangalie wewe kweli Allah akija leo atakuchukua au ataona bora amchukue kafiri...
 
Wakati umefika na sisi wakiristu kujita kichwa mbovu ...., ila kisomi zaiidiii, kwani ustarabu wetu wa elimu ya darasani inatuponza mpaka tunatukanwa waziwazi, hawa wenzetu kutokana na uelewa wao mdogo ndio wanautumia kama advantage ya kutokuwa na haya na kutufanyia vioja. Ingawa najua na sisi tukianza kujibu serikali itataharuki kwa kuwa wanajua sisi tuko smart zaidi lazima itawatisha.
 
Daaah ! Wagalatia Redio hii inawafanya hata maji hamnywi !
Huku kuna redio yenu moja inakemea pepo mwanzo mwisho ! Wakipumzika wanahimiza Mpesa. Eti ushike redio wakati wakikemea magonjwa !

Vichwa vya Waislam 500 ni sawa na Mkristo mmoja.
 
Mkuu!
Kumbuka kipindi wakristo wanaenda shule ninyi mlisisitiza madrasa ndio maana kwa mtu kujiunga na upadri elimu ya chini ni form six na anaendelea kusoma miaka mingine si chini ya sita so automatically shule kwa wakristo itasisitizwa lakin mpaka sasa kuna waislam wanaelimu ya juu ya kiislam lakin hawajui kusoma wala kuandika ktk elim mnayoiita elimu DUNIA hii inaonesha kua hakuna waislam wenye vigezo so unataka hata ,mtu asiye na sifa ila ni muislam tu ndo apewe? Ukisema hakuna uwiano wa waislam na wakristo katika serikali angalia kwanza je kuna uwiano gani kati ya waislam na wakristo wenye vigezo stahiki kupewa nafasi za kuongoza au hata ajira???? nahisi tu nyie mnainferiority complex na hamjiamin bas inabidi tuwaweke kati special group!!!!!!!!!!!!!!!!!1
 
Hata Radio Maria inakotupeleka sio kuzuri.......jinyonge Kama inakuuma.......waliyadiin kuum waliyadiiiiin
 
Kwani umeambiwa uisikilize,si usikilize radio zenu.We unajua maana ya uchochezi?wangekuwa wanachochea wangeifungia.We kama unaona inachochea nenda kaishtaki mahakamani ili ifunguwe kuliko kulalamika haba hata hutoi hizo kasha za radio imaan

Acha utaira na wewe unaongea kwa ------ kitu cha hatari kama hiyo unashabikia au na wewe ni walewale
 
Hivi huwa hamujiulizi KWANINI ALLAH amewaruhusu hao mnaowaita MAKAFIRI waendelee kuishi hapa duniani? Kama angekuwa hawataki kama nyie msivyowataka si angeshawaulia mbali siku nyingi? Tumieni akili enyi kizazi cha ISHMAEL

mkuu bible inasema mkishika amri zangu nitawafanya vichwa wala si mikia kwa hiyo wao wamechagua allah mungu wa miungu amewafanya mikia na hawawezi kupambana na sisi mpaka kesho kwa kuwa mungu yupo upande wetu. kumbuka goliati na daudi ndugu zetu watahangaika sana na hawawezi kupambana na sisi
 
Hata Radio Maria inakotupeleka sio kuzuri.......jinyonge Kama inakuuma.......waliyadiin kuum waliyadiiiiin

pepo mkubwa ww uliyetumwa na huyo mtume wenu,emu niambie radio maria imehamasisha nini kuhusu vurugu za za kidini?nahish una element za mapepo kutwa kuyafunikia hayo mashetani mnayobeba ndo mana waislam wengi akili mgando mana mtu unajifunika mpaka akili inakosa ata hewa,mwangalie ata ata mke wa dhaifu?mmelanika nyie kutwa na vijikopo,amana shule,kwanza shule za kiislamu ndo znaongoza kufeli.badala ya kufanya kazi jimtu lizma lnashnda msikitini kuanzia asubhi mpka jion ukisubri mhindi akupe ata jero!
 
Wala urojo hawana ki2 kichwan,ya nin yote hayo? Nliangalia matokeo kwenye shule zao div.iv 79 zero 215 hakna i,ii wala iii
 
bora sisi hatukosma heri nyie wasomi wajinga mlidanganywa mkachomwa moto na mchungaji kibwetele

Kweli mkuu ... yani hawa tukisikia wamejichoma moto kama wenzao wa Uganda sitashangaa....Ukiangalia comments zao tu unapata khofu kwamba watajichoma moto muda si mrefu
 
Hizi dini zenu zitawasumbua sana, asili ya dini ni BINADAMU na asili ya Mungu ni UTAKATIFU.
Dini zenu hizi zina tamaduni za watu waliozileta, hata miaka ya kuja kwake hapa Afrika inafahamika. Mungu alianza kuheshishimiwa Afrika hata kabla ya ujio wa hao wakubwa wenu.
Maana ni kwamba Mungu alianza kujitukuza kwenye maisha ya mwanadamu tangu cku ya kwanza ya kuumbwa kwake na wala si ujio wa wazungu na waarabu waliokuwa wakituletea mungu wao ilhali wana majambia viunoni na minyororo mikononi kuwageuza wana wa afrika kama mbuzi wa machinjio au kondoo wa pasaka kana kwamba huyo mungu wao amekuja kuwinda nguruwe pori.

Huyo Mungu wa wazungu na waarabu atawatesa hasa maana hata wao wenyewe hawamjui, ndo maana kwao kuua binadamu mwenzake, kumgeuza mwanamke mwanamume mwenzako, kupora mali za nch masikini, kumbagua mtu kwa rangi yake tu, kudhalilisha wanyonge, yatima na wajane kwao si kitu, hata hao mitume wenu wameua watu hovyo ili tu kupata mali nk, eti hao ndo wawaelekeze njia ya peponi nawaambia katu haitowezekana.
Kama wanaowafundisha nyinyi dini zao wao wenyewe wanabishana kuhusu hzo hizo dini zao nyie wa dunia ya tatu mtaelewaje? We angalia tu mzungu wa katoliki anamdharau wa anglikana au pentecost, mwarabu wa dhehebu la Shia yuko radhi kumuua mwarabu wa sunni au singasinga nk,,

Kama wao hawajaelewa kuhusu huyu mungu wao nyie wanafunzi mtaelewaje?
Dalili za confusion ndo hizo akiwa mkristo na mwislamu taabu, akikaa mwislamu kwa mwislamu napo taabu tu..
Sifa za Mungu wa kweli ni hizi UPENDO, HURUMA, UVUMILIVU, KUSAIDIA WANAOHITAJI MSAADA, KUTHAMINI, KUINUA. UPOLE, UAMINIFU NK..
Huyu wa chuki ni yule mungu wa dunia hii ibilisi shetani na malaika zake na wote mnaotukanana humu kwa chuki huyo ndiye mungu wenu.
Eeh Mungu wa upendo tusaidie sisi waafrika dhalili
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom