Hivi hawa ma_representer wetu hapa bongo inamaana wamekosa kuvumbua STAIL nyingine ya utangazaji au..?
Maana karibia 70% wanatumia stail moja.,mfano ukiwasikiliza kwa makini <B_12,adam mchomvu,kwisa,prefect,dullah,samisago,tony,millard ayo,dj fetty, na wengine kibao wa radio+tv local za mikoani> wote wanatumia stail moja.,
WANA JAMII TATIZO LAWEZAKUA NN HAPO,.AU NDO UWEZO MDOGO WA KUFIKIRI..?
:km ujisikii kucoment ni bora ukasoma na kupita na sio kucoment UDWANZI:
Maana karibia 70% wanatumia stail moja.,mfano ukiwasikiliza kwa makini <B_12,adam mchomvu,kwisa,prefect,dullah,samisago,tony,millard ayo,dj fetty, na wengine kibao wa radio+tv local za mikoani> wote wanatumia stail moja.,
WANA JAMII TATIZO LAWEZAKUA NN HAPO,.AU NDO UWEZO MDOGO WA KUFIKIRI..?
:km ujisikii kucoment ni bora ukasoma na kupita na sio kucoment UDWANZI: