majira ya saa 5 asubuhi leo kumetokea radi kubwa sana katikati ya jiji. Kwa upande wa baharini anga ilionekana kama kitu kilikua kina ungua na moshi ulitanda.
Pia kuna tetemeko la sunami huko Indonesia ktk mda huu. Tunataadharishwa kuwa mbali na fukwe
Pia kuna tetemeko la sunami huko Indonesia ktk mda huu. Tunataadharishwa kuwa mbali na fukwe