ila hamtakuja kumsahau mzee lowasa aisee kura 39.97% na bado mlimwibia nyingine za kutosha!
Ilikuaje akawaambia za Urais mwachieni yeye alinde? Labda aliuza hakuibiwa si unajua anavopenda pesa!
ila hamtakuja kumsahau mzee lowasa aisee kura 39.97% na bado mlimwibia nyingine za kutosha!
Uwanze kwanza kumfungia Kingunge Ngombale Mwiru, Edward Lowasa na Frederick SumayHawa wa watu yawafaa wafungiwe jiwe LA kusagia shingoni mwao Na wakatupwe baharini,
Kweli tumbo deni la maisha!View attachment 321491
Leo mjini Singida katika kuadhimisha miaka 39 ya kuzaliwa kwa CCM, maazimisho hayo yanayofanyika mjini Singida pia yameambatana na tukio kubwa la kuwapokea waliopata kuwa wabunge wa CHADEMA ambao ni Bi Rachael Mashishanga na Christowaja Mtinda
Wanatamani msimu wa uchaguzi urejee tena.Tehe tehe tehe nasikia hao jamaa waliofagia na kudeki barabara walikuwa hawana kadi za kupigia kura!
Ponit of correction:Chama cha CCM KINANUKA Zanzibar na hasa Pemba kwenye marashi ya karafuu !!!CCM inakubalika sana hususani Zanzibar.Hongera kwa dada Rachel kwa kumfata Dr.Slaa.
Wanatamani msimu wa uchaguzi urejee tena.
Wawale pesa zao huku hawana kuraIli iweje?
Wawale pesa zao huku hawana kura
Mimi nilikua nauliza kama hii imewahi kutokea Tanzania maana sioni bendera ya chama chochote labda ilikua Uganda ama Kenya bwana watanzania hatujafikia huko mkuu kudeki barabara. wanasiasa wetu wakomavu hawawezi kuruhusi hii hali.Mtadeki sana barabara, badala ya kudeki vyumba vyenu vya kulala,
Hivi waliokuwa wanadeki barabara wameishia wapi?Wamehaidiwa zawadi gani ktk kipindi hiki?
View attachment 321491
Leo mjini Singida katika kuadhimisha miaka 39 ya kuzaliwa kwa CCM, maazimisho hayo yanayofanyika mjini Singida pia yameambatana na tukio kubwa la kuwapokea waliopata kuwa wabunge wa CHADEMA ambao ni Bi Rachael Mashishanga na Christowaja Mtinda
Na Dada yake Tundu lissu pia!!
Ndugu Magufuli anasema ni Marufuku vyama vya hovyo hovyo kufikiria kuitawala Tanzania! Aksante sana Ndugu Rais.
Siyo huyoHuyu mtinda ndio yule alihamia act akagombea ubunge mpanda?
Haishi na mumewe. Kila mmoja yupo kivyake vyake.Huyu Christowaja Mtinda namfahamu toka tukipiga shule pale UD. Alipata alama za juu (GPA) wengi walihoji hasa ukizingatia darasani ilikuwa sufuri. Akapata women scholarship ya masters ya UD halafu akapelekwa kufundisha Mkwawa (MUCE). Alianza PhD kule uingereza hata hakumaliza kitu ambacho wengi walitegemea kutokanan na uwezo wake. Ghafla tukasikia yuko Viti maalum. Nadhani CHDMA walikuja kutambua uwezo wake ndo maana akapigwa chini. Kwa jinsi ninavyomfahamu huyu bibie, kurudi CCM ni strategy either arudi MUCE au apate hata udc. Ni 'go getter" huyu usione michirizi ya kujichubua....