Hii ilikua Nchi gani? Tanzania hatujafikia huko kudeki bara bwana hapa naona labda watu wa mseveni Uganda nini?
View attachment 321491
Leo mjini Singida katika kuadhimisha miaka 39 ya kuzaliwa kwa CCM, maazimisho hayo yanayofanyika mjini Singida pia yameambatana na tukio kubwa la kuwapokea waliopata kuwa wabunge wa CHADEMA ambao ni Bi Rachael Mashishanga na Christowaja Mtinda
Hivi juliana shonza yupo wapi?Mmemnyima viti maalum kaamua kuwaachiwa chama chenu ,
Ccm anaweza pata ata udc
Kuna wilaya mpya kadhaa zimeanzishwa ikiwa ni pamoja na Ubungo na Kigamboni. Wanasiasa Mamamluki wengi utawaona kila wilaya mpya inapoanzishwa. Kwa historia ya siasa ya Tanzania ni kitendo cha kishujaa kuhama CCM na kujiunga na chama cha upinzani kwa sababu huko nyumba CCM ilikuwa imejikisha hatamu. Lakini kuhama chama cha upinzani na kurejea CCM ni dalili za umamluki. Ningekuwa mimi ni akina wadada poa hawa, ningeamua kuachana na siasa.Wamehaidiwa zawadi gani ktk kipindi hiki?
Na Dada yake Tundu lissu pia!!
Ndugu Magufuli anasema ni Marufuku vyama vya hovyo hovyo kufikiria kuitawala Tanzania! Aksante sana Ndugu Rais.
Mbunge wa viti maalum kupitia mkoa wa SongweHivi juliana shonza yupo wapi?
Sio ana ni Christina haiseNikusahihishe kidogo mkuu, Dada wa Tundu sio cristowaja ni Anna mghwai Lissu
Sasa hivi angeongoza jimbo kama james millya.Mbunge wa viti maalum kupitia mkoa wa Songwe
Kila mtu anao uhuru kikatiba kujiunga na chama chochote cha siasa , mwacheni arudi CCM , kuna uzuri aliouona huko aendako
Hapo nimeanza kuelewa sababuMmemnyima viti maalum kaamua kuwaachiwa chama chenu ,
Ccm anaweza pata ata udc