chokambayaa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 543
- 69
Mtanzania mwenzetu, ndugu yetu, rafiki yetu na jamaa yetu alifarika huko marekani
anategemewa kusafirishwa kesho kutokea Marekani na hatimaye kupunzishwa huko
nyumbani kwao Moshi kijiji cha Mbokomu siku ya Alhamisi (05/01/2012).
Sisi tulimpenda ila MUNGU alimpenda zaidi
mungu ailaze peponi roho ya marehemu
Amina!
anategemewa kusafirishwa kesho kutokea Marekani na hatimaye kupunzishwa huko
nyumbani kwao Moshi kijiji cha Mbokomu siku ya Alhamisi (05/01/2012).
Sisi tulimpenda ila MUNGU alimpenda zaidi
mungu ailaze peponi roho ya marehemu
Amina!