Pole Msindima...Sasa vp hakupata kukwambia kuwa ki-JF alikuwa anaitwa nani?
Shida iko hapo...Usiri too much huu si mzuri...Tungemjua tungeweka hata bandiko lake moja hapa just for commemoration!...AnyOne out there, make sure kuwa rafiki mmoja au wawili wanakujua in both names(ki-JF na kimtaa)Asante, hakuwahi kuniambia kama ni member wa JF.
Shida iko hapo...Usiri too much huu si mzuri...Tungemjua tungeweka hata bandiko lake moja hapa just for commemoration!...AnyOne out there, make sure kuwa rafiki mmoja au wawili wanakujua in both names(ki-JF na kimtaa)
Ndio nilikuwa nafanya sensa sasa ya watu nnaowajua na waliokuwa wanaomba kuwepo kwenye ile safari hapa...Waliokuwapo kwenye vikao wote wapo hewani, ila kuna wengine ambao waliconfirm kwa simu kuwa wangekuwepo, lakini hadi tarehe hizo 24/12 sikupata kuwasikia tena...!Hivi wakati ule mnafanya vikao vya safari hakuwahi kuja? Sasa kaka tufanyeje kwenye hili swala la usiri? hivi wakati mtu anajiunga na JF si kuna mahali information zake zinakuwepo au?
Ndio nilikuwa nafanya sensa sasa ya watu nnaowajua na waliokuwa wanaomba kuwepo kwenye ile safari hapa...Waliokuwapo kwenye vikao wote wapo hewani, ila kuna wengine ambao waliconfirm kwa simu kuwa wangekuwepo, lakini hadi tarehe hizo 24/12 sikupata kuwasikia tena...!
Haya mambo bana yanatisha kidogo...anyway tutajua tu!
Ndio nilikuwa nafanya sensa sasa ya watu nnaowajua na waliokuwa wanaomba kuwepo kwenye ile safari hapa...Waliokuwapo kwenye vikao wote wapo hewani, ila kuna wengine ambao waliconfirm kwa simu kuwa wangekuwepo, lakini hadi tarehe hizo 24/12 sikupata kuwasikia tena...!
Haya mambo bana yanatisha kidogo...anyway tutajua tu!
Mtu anapojiunga anaweka E-mail address yake tu kule...hakuna majina halisi...Sasa email address si lazima iendane na majina ya mtu, ingawaje mara nyingine inakuwa hivyo!
Anyway, kwavile mods wanaona hii maneno, huenda wakasearch na kutuambia ID yake proper!
Mheshimiwa Regia,Inawezekana Uongozi JF ukawa unamfahamu.Kwahiyo hakuna hata mwana JF mmoja aliyeshiriki mazishi akiwakilisha JF?jamani inahuzunisha.