R.I.P kifurushi changu pendwa cha Halotel

Kesha kama bundi kuanzia saa 6usiku hadi saa 12usubuhi, kama ni ofisi fungua mida hiyo.
Mi natumia freebasic, nimepunguza sana matumizi ya anasa anasa.
 
Mb 390 kwa dk 20 speed ya kobe hiyo kaka..

Sasa heavy user tunae mzungumZia hapa hyo speed haitosh..mie nawaza kushusha battlefield 1 hapa ina gb 49 si ntakaa wiki mbili na hyo speed.

Moviez nashusha 1080p almost 2gb per movie nahitaj not less than1MBs..Airtel hawana hiyo speed
e9559dcd83946519c4ccae99eef075d5.jpg
Speed ya Airtel. Tafuta modem yenye uwezo wa DC-HSPA+ kama huawei e3372. Mimi ndio natumia hio
 
Vodacom nawapenda na kwa spidi zao za 5MBs wamenzoesha vibaya nashindwa kutumia mtandao mwingine siku hizi kwa sababu ya spidi zao za KBs (ukishazoea kushusha movie kwa dakika 4) huwezi rudi kwenye life la kusubiri, lakini bundle zao hapana sema ukweli sijui tunawapi pakukimbilia maana kila kukicha vifurushi vinapungua..
67bb53d6b612df64bb24a3b2c1a44a7e.jpg


Halotel ndio hivyo, Ttcl naye yupo faster but vifurushi sio rafiki, airtel kwetu hata 200KBs haupati, Tigo bora uache.
 
2.8GB per day != Heavy Internet User

2000 per day means kama utaunga kila siku Total monthly cost itakua around 60,000/=

Kuna Bundle za Unlimited zinacheza kwenye 70,000/= kwa Smile na Smart nafikiri
Line ya Halotel ya chuo kipo 10,000/= unapata GB 10 kwa mwezi.
 
Vodacom nawapenda na kwa spidi zao za 5MBs wamenzoesha vibaya nashindwa kutumia mtandao mwingine siku hizi kwa sababu ya spidi zao za KBs (ukishazoea kushusha movie kwa dakika 4) huwezi rudi kwenye life la kusubiri, lakini bundle zao hapana sema ukweli sijui tunawapi pakukimbilia maana kila kukicha vifurushi vinapungua..
67bb53d6b612df64bb24a3b2c1a44a7e.jpg


Halotel ndio hivyo, Ttcl naye yupo faster but vifurushi sio rafiki, airtel kwetu hata 200KBs haupati, Tigo bora uache.
Vodacom ni wezi sana wa mb niliwahi kujiunga kifurushi cha gb moja nikawa naangalia mpira live stream nikashangaa kifurushi kimeishia kipindi cha kwanza tu. Wakati nimezoea kuangalia mechi mpaka inaisha kwa GB moja na bado zinabakia MB nyingi tu kwa kifurushi cha airtel. Japokuwa hakukuwa na buffering kabisa hadi GB kipindi hiko cha kwanza na kifurushi kikaishi kipindi hiko hiko
 
Vodacom ni wezi sana wa mb niliwahi kujiunga kifurushi cha gb moja nikawa naangalia mpira live stream nikashangaa kifurushi kimeishia kipindi cha kwanza tu. Wakati nimezoea kuangalia mechi mpaka inaisha kwa GB moja na bado zinabakia MB nyingi tu kwa kifurushi cha airtel. Japokuwa hakukuwa na buffering kabisa hadi GB kipindi hiko cha kwanza na kifurushi kikaishi kipindi hiko hiko
haujaibiwa, ulipelekwa tu stream ya quality kubwa, mimi nikiwa na bundle nzuri natumia 2GB hadi 4GB kuangalia mechi moja tu kwa full HD.
 
Vodacom ni wezi sana wa mb niliwahi kujiunga kifurushi cha gb moja nikawa naangalia mpira live stream nikashangaa kifurushi kimeishia kipindi cha kwanza tu. Wakati nimezoea kuangalia mechi mpaka inaisha kwa GB moja na bado zinabakia MB nyingi tu kwa kifurushi cha airtel. Japokuwa hakukuwa na buffering kabisa hadi GB kipindi hiko cha kwanza na kifurushi kikaishi kipindi hiko hiko

Mkuu sema ukweli wizi wa vodacom upo kwenye salio, wanatabia ya kukata shillingi 52 na senti kadha hususani kama umekopa 1000 nimegombana nao sana juu ya hili kwa wengine wanakata salio.

Lakini kwenye unacho kisema hakijawahi nitokea na nasema hivyo kwa uhakika maana mimi kila kifaa changu cha android; simu zangu na tablet nimeweka app inaitwa "Internet Speed Metre" hii inapima speed pamoja na mb nilizotumia. Ningekushauri uwe nayo tu kuweka moyo wako kwenye amani.
 
Back
Top Bottom