Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,467
- 23,755
- Thread starter
- #81
Jifunze maneno mapya. Haya tumeyazoea. Kuwa mbunifu.Yaani kwa wewe kupata mimba ndio nchi imefunguliwa,labda kama uchi umefunguliwa na umepata mimba.
Jifunze maneno mapya. Haya tumeyazoea. Kuwa mbunifu.Yaani kwa wewe kupata mimba ndio nchi imefunguliwa,labda kama uchi umefunguliwa na umepata mimba.
Tena bi Aisha ndo haifai kabisa kumsikiliza. Alimsingiza mengi mtume... Alidai aliwahi kupigwa naye. Alidai aliwahi kumwona mtume anavaa nguo zake na kumwona anakojoa amechuchumaa.Hii ni Hadithi,sio Qur'an,tofautisha Qur'an na Hadithi.,Hadithi ziko sahihi nz zisizosahihi.Bi Khadija(mke wa Mtume,alikuwa Kiongozi,na Mtume alifanyakazi chini yake(Biashara),na biashara ilikuwa kubwa sana,ya Ku export bidhaa nje ya nchi.
Waislamu pia,wanafuata Maelekezo mengi ya Hadithi zilizo sahihi,kutoka kwa Mtume,kupitia Bi Aisha(mwanamke).
Sasa unaniambia mimi kwani nimekataa au ndo nakuambia sisi tutaendelea? Au huelewimbona malkia wa sheba aliiongoza KUSHI?[ETHIOPIA} na iliendelea mpaka mfalme suleiman akaisikia na akazaa na huyo mwanamke??
okay man,,,nimeconfuse!! sorry man!!!Sasa unaniambia mimi kwani nimekataa au ndo nakuambia sisi tutaendelea? Au huelewi
Una elimu gani kwanza kabla ya kukujibu?Pamoja na hayo hebu jaribu kutafuta nchi ya kiislam inayoongozwa na mwanamke utujuze kama ipo.
Elimu haihusiani na swali niililouliza, jibu swali ikiwa huna jibu sema tu nitakuelewa.Una elimu gani kwanza kabla ya kukujibu?
Hata Golda Maire alikuwa Iron Lady wa Israel. Alikuwa mwanzilishi wa State of Israel na baadaye AKAWA Prime minister wa Israel wakati wa vita na waarabu. Lakini usi linganishe usiku wa mbalamwezi na mchana. Samia ni usiku wa mbalamwezi na kamwe hawezi kuwa mchana. Kama ameshindwa kuitoa nchi kwenye kiza cha kukatika umeme, ameshindwa kumaliza uhaba wa sukari na mambo madogo madogo kama hayo. Uta mlinganishaje na Iron ladies kama Thatcher, Angela Merkel, Golda Maire. Oh please!!Hakuna ukweli wowote hapo, na tena ni kinyume chake.
Ujerumani ilikuwa bora zaidi kwa Angela Michael na hakuna Uingereza bora kushinda enzi za Magret Tharcher, unasemaje ndg mfagilia mfumedume?
Ooh, umezoea. sawa.Jifunze maneno mapya. Haya tumeyazoea. Kuwa mbunifu.
Hizo ni hadithi za abunuwasi. Nani kaandika hayo maneno? Kwanza ujue hayo ni mambo ya imani, mpk uamini. Sisi wengine kwanza hatukifahamu hicho kitabu.Mimi nasema Tanzania itaendelea mtake msitake. Pamoja na maneno haya kusemwa na Quran naamini itakuwa si kwa ajili ya nchi yetu.
Labda kwa maeneo mengine. Tuendeleeni kumuunga mkono samia katika harakati zake. Haya mambo mengine yasitutoe kwenye mstari. Lazima tukubaliane dunia imebadilika. Au nasema uongo?
View attachment 2908698
Are we talking about women in general, or about Her Excellency, Samia Suluhu Hassan?Hata Golda Maire alikuwa Iron Lady wa Israel. Alikuwa mwanzilishi wa State of Israel na baadaye AKAWA Prime minister wa Israel wakati wa vita na waarabu. Lakini usi linganishe usiku wa mbalamwezi na mchana. Samia ni usiku wa mbalamwezi na kamwe hawezi kuwa mchana. Kama ameshindwa kuitoa nchi kwenye kiza cha kukatika umeme, ameshindwa kumaliza uhaba wa sukari na mambo madogo madogo kama hayo. Uta mlinganishaje na Iron ladies kama Thatcher, Angela Merkel, Golda Maire. Oh please!!
Asante kwa ufafanuzi, hata hivyo, tunawiwa kupuuza hii aya, bila kujali imetoka kwenye hadithi au kwny nini,Hii ni Hadithi sio Qur'an.Tofautisha hadithi nà Qur'an.
Labda ana MAARIFA YA CHIZI!si unaona jamaa aliepost anajiita CHIZI MAARIFA!!