Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,681
- 8,233
Ujinga mtupu, insurance nao hawana akili wanalipa tu fweza bila uchunguzi kamili. Haiingii akilini kwa nini majengo mengi yanaungua wakati huu ambao uwezo wa kuzima moto ma technologia za kisasa zipo. Wizi mtupu ngoja waingie wanaoweza kuendesha nchi muone kama upuuzi kama huu utaendelea kutokea.