Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Wamemwaga misaada ya kutosha kwa waathirika wa mafuriko kule Hanang.
Kwa macho ya kawaida unaweza kushukuru sana na kuwamwagia sifa kibao kuwa jamaa ni wanatupenda sana kwa moyo.
Wana Hanang wamefaidika lakini kwa wana Ngorongoro maumivu ni makubwa sana.
Huu ni urafiki wa kweli au ni ule wa nipe nikupe?
Kwa macho ya kawaida unaweza kushukuru sana na kuwamwagia sifa kibao kuwa jamaa ni wanatupenda sana kwa moyo.
Wana Hanang wamefaidika lakini kwa wana Ngorongoro maumivu ni makubwa sana.
Huu ni urafiki wa kweli au ni ule wa nipe nikupe?