Nawakumbuka tpaul..... so how tunashindwa wap tunakwama? Hd ifikie hatua jwtz wapelekwe nihali amby aibu kwa jeshi la police na vikos vingine visivyokuwa jwtz. Kuwapeleka jwtz kwaupande wangu ninaona police wetu hawa hawana uhodari na ujuzi ikiwa wao wameshindwa. Jaman tunajua sote kaz ya jwtz ni ipi. Ndugu zetu pwani haswa kibit,tufiji na mkuranga wanaishi ktk hali mbaya hawana hakika yao yakesho ama jion ijapokuwa mungu ndie mpangaji wakifo lkn isiwe kwahali km hii. Narudia tena busara na hekma vinapaswa vitumike sana. Km nguvu tulitumia lkn bado haikuzaa matokeo mazr na mbaya zaid kila linapotolewa kauli wakuu hawa watu ama majini whatever nawezawaita wao ndio wanafanyakusudi.Mkuu unawakumbuka wale "majambazi" waliouliwa na polisi kule Mkapa Bridge? Mauaji ya kibiti yana SIRI KUBWA!
nakumbuka swali la history ..the colonialists sowed the seed of their own destruction...discuss...tuna vijana tuwapeleka jkt hivi wanajulikana ni wangapi na wanafanya nn...je hawa migambo vipi? hilo halitoshi kama hawa watu hawaogopi kuuwa askari je tunajua hatua inayofata? kujitoa mhanga kutaanza ktk maeneo ya raia na ndipo washangiliaji wote watakapojuta...siku muhimbili ikiliuliwa ndio tutajua hawa sio watu wa kushangilia
Hahha we sawa tu... unakuja kimya kimya huku, nakuona viwanja!!!wana kibiti wamekufufua huonekani? na huku kwetu uligoma kurudi tulikukosea nini ati?
unaweza ukawapeleka alafu ukapata picha kama.hizi kikubwa mimi.nahisi huko kuna majini maaaana hayasemi yanataka niniHuko pwani kuna zaidi ya Tatizo, juzi tu si wamepelekwa JWTZ?
sababu zitakua zinajulikana ndo mana hawazitaji by the way nadhani sio magaidi maana serikali bado haijasema kama nimagaidi bali ni majambaziKwanini hawa jamaa hawatoi sababu....shida yao nini..
Mbona wenzao al shaabab na boko haram madai yao yanajulikana..
Hawa kenge wanaua tu..
Wapuuzi sana.
itakuwa umenifananisha, siwezi kuja nisiwatafute wenyejiHahha we sawa tu... unakuja kimya kimya huku, nakuona viwanja!!!
Kuna tatizo kubwa sana huko......watu wanateketea mno......hasa askari....Kwanini hawa jamaa hawatoi sababu....shida yao nini..
Mbona wenzao al shaabab na boko haram madai yao yanajulikana..
Hawa kenge wanaua tu..
Wapuuzi sana.
Muda mfupi uliopita askari polisi wawili wa kikosi cha usalama Barabarani Bungu, Kibiti wamepigwa risasi na kufa papo hapo wakiwa kazini eneo kati ya Bungu na Jaribu! Walikuwa watatu, mmoja wa kike kasalimika!
.Tutaendelea kukujuza jina la askari huyo na namna mauaji hayo yalivyotokea hivi punde.
Mkuu watu hawataki kusikia ukweli, wanataka kusikia yatakayofurahisha nafsi zaoAmejibu vizuri, kuna sehemu tumekosea kama serikali lazima ikiri kuwa wamefeli na sababu ni nyingi sana. Tatizo la kibiti ni dogo sanaa kwa viongozi ambao wanatumia akili, wapo focused determined na wanajali maisha ya watu wao. Mwisho: hatuwezi linganisha hali ya kibiti na yanayotokea Uingereza au America that's a different case scenarios. Kibiti pale ukimpeleka kiongozi mmoja hata angekuwa mkapa au kikwete wangeweza handle vizuri tu
wewe umejuaje kama wanamiliki smg?Hawa jamaa wakiendekezwa ipo siku wataua basi zima la wanachama wa CCM endapo watapita maeneo hayo ya kibiti. Kama hapo wanamiliki silaha za kawaida kama smg, vp wakipata LMG, RPG, Heavy Machine Gun cartridge 12.7 × 99mm NATO hapo si tutapoteana hapa town.