tofali
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 4,010
- 3,406
Kwahiyo una furahia watu kuuliwa...swala sio matatizo yao.km matatizo vijiji vingapi vina matatizo tanzania...kuna 'tension' kati ya wananchi na serikali,chanzo cha tatizo serikali Ime ignore matatizo yao ya msingi,wanaleta ubabe kupeleka majeshi huko,,,,,,,,,anyway walikua wanamsifia JF,Mwigulu kichwa kasoma Ilboru................haya tuone
The thing is hao watu ni magaidi..na wanachofanya ni kutifanyia intro...na alertness kuwa tupo...na sina shaka wako katika majaribio..
Usishangae wakaanza kusogea kdogo kidgo cz washatusoma kuwa hatuwawezi..so watch out..leo yaweza kuwa kibiti..kesho wakakufata kkoo au hata mlimani city...
Hawa wameamua...mbona they dont demand anything once wakifanya tukio..jiulize...
Alshabab..boko haram in the making....