TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,079
Hivi mbona Rais wetu hatembelei Russia?
SWALI LA MSINGI HILO LAKINI....
Kurugenzi ya Ikulu itakwambia Russia sio potential investor kwa inchi yetu, na ni mgumu kutoa msaada hata kwa mambo madogo kama chandarua nakadhalika. Hivyo hakuna haja ya kupoteza ela kwa safari za 'Kremlin'.