hii kitu mliwafanyia tambaza? mm nilikuja kupata story baadae.....Kweli tumetoka mbali. Kwa ambao hawakupitia Pugu mtusamehe ila ki-ukweli fungus hadi kwenye makao makuu kwa ajili ya maji ya pondi. Ilikuwa vigumu kushindwa kumtofautisha mwanafunzi wa Pugu kati ya wanafunzi wengine maana wa Pugu utamkuta mkono moja unaminyaminya nyanya (makende) na kuzipapasapapasa. Kisa fungus. Usisahau na upupu wa pondi. Silaha imara ya kupambana na wanafunzi wa shule korofi. Maana nakumbuka tukiwafunga mabao wanaanza kuleta fujo hivyo silaha yetu ilikuwa kutumia upupu hadi kwenye magari yao. Ilikuwa ni sinema za bure wakianza kuwashwa na upupu. Samahani kwa yote lkn yote yalikuwa maisha ya shule.
Pugu boyz bwana,kuoga ilikua kazi hadi usikie unanata,kuwa kiranja wa ulinzi hadi uwe unabeba nondo ili uwashikishe adabu wezi,TV ya shule ipo ila cku Nampanda akiunganisha anachukua kingilio mlangoni. Ukiongea na headmaster enzi hizo Shelimo kaa mbali nae coz ana makofi ya kushitukiza ni balaa.
hapo ni DH mkuluhapo DH mkulu, miss U ooh PUGU
hapa wapi?
Oh RIP, nakumbuka kuna dogo moja o- levo alikuwa anakamu.Alipotoka chuo akawa anafundisha chemistry a-level,shallow mbaya,full kijisifu,mama pendo keshafariki wakuu kama mnamkumbuka,
Wao si walikuwa na misholi, wakijifanya ni ma-born town. Ndo walionja joto ya ma-bush starshii kitu mliwafanyia tambaza? mm nilikuja kupata story baadae.....
mkuu wazee wa pond big up
labda cha kufurahisha mabagala alirudi shule akaenda chuo kikuu hope alimaliza salama
same to wasiwasi alirudi shule akawa pale mliman sijui al ipoishia maana siri za walimu wanazijua wenyewe
kwa mnaomkumbuka mabeg's alikuwa aanakukimbiza hata ukiwa uchi anasema mi nautaka kuuona huo unaoukimbiza una nini
ni one wa craizy dady hope bado ana survive na mambo ya elimu kama si prof nyingine
mama pendo alikufa jamaa yangunyoka alijiendeleza zamani sana atakuwa udsmhata juma mzee wa juu sidhani kana bado yuko hapo.ila pondi na fungus zile sio mchezo hahahaahaha hazina urembo zilehivi mama pendo mado hupo
ma bags,alimaliza elimu yake now ni second master pale ana hiace & carina new model hana habarimkuu wazee wa pond big uplabda cha kufurahisha mabagala alirudi shule akaenda chuo kikuu hope alimaliza salamasame to wasiwasi alirudi shule akawa pale mliman sijui al ipoishia maana siri za walimu wanazijua wenyewekwa mnaomkumbuka mabeg's alikuwa aanakukimbiza hata ukiwa uchi anasema mi nautaka kuuona huo unaoukimbiza una nini ni one wa craizy dady hope bado ana survive na mambo ya elimu kama si prof nyingine