Ng`wanakidiku
JF-Expert Member
- Apr 18, 2009
- 1,195
- 232
Je atakubali kuja kula ugali?
Mwali anapenda sana mlenda wa dodoma wenye samliSema aina ya mboga kwanza ..
matembele , mchicha, kisamvu, mlenda
Au "SUKUMA WIKI"?
hahah!!!Nakusalimia ndugu yangu....
Hope mzima...
Tusalimiane kwanza then tuanze mchakato wa Mwali ingawa nahofia sana Saint Ivuga atatumaliza akiona hili
Kuna option ya mimboga kibao! Kwanza kabisa hii hapa chiniSema aina ya mboga kwanza ..
matembele , mchicha, kisamvu, mlenda
Au "SUKUMA WIKI"?
dah! nilikuwa nimeshiba ila njaa ghafla! imagine umeigonga hiyo alaf ukapata mbuyu wa bariiiiidKuna option ya mimboga kibao! Kwanza kabisa hii hapa chini
tehetehe!! mi simo.dah! nilikuwa nimeshiba ila njaa ghafla! imagine umeigonga hiyo alaf ukapata mbuyu wa bariiiiid
dah! nilikuwa nimeshiba ila njaa ghafla! imagine umeigonga hiyo alaf ukapata mbuyu wa bariiiiid
hahah!!!
Basi naplay low profile! Ndiyo maana nimeanza na ugali.
Nakutakia kila la kheri bt
Note : huu ukoo haukawii kutoa talaka!
Na talaka inatoka kukeni !
Niulize mie , au labda Mwali akija hapa afafanue.
Kuna ukweli katika hili au vinginevyo.
JG tuwasiliane baadae tujue namna utakavyoanza maisha mapya
Nimekupata 52 !