Malilambwiga
JF-Expert Member
- Jul 19, 2015
- 485
- 296
Prophet Bushiri anatishaWiki kadhaa zilizopita Mke wa aliyekuwa Kamishna wa TRA Harry Kitilya, Bi.Rose Kitilya alionekana katika viunga vya Afrika Kusini katika kanisa la Nabii Bushiri ili kumuomba Nabii huyo 'kumfanyia wepesi' Bw. Kitilya alieko gerezani kwa kosa la kutakatisha fedha haramu katika sakata la hati fungani. Ombi la mama ni kuomba nabii afanya maombi ili milango ya gereza ifunguke.
Wiki moja iliyopita kuna taarifa ya kuwa ndugu Lowassa anaye ameonekana katika viunga vya nabii huyo, katika kile kinachitwa kuangalia mustakabali kisiasa na kupata mbinu za kuongeza mvuto.
Je Nabii Bushiri ni 'mtoa maono' mpya baada ya TB Joshua?. Kwa wenye piacha za matukio mnaweza kuweka kwani mtambo wangu leo hauko sawa.
Nawasilisha.