IPECACUANHA
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 3,216
- 1,906
Unaweza kumlazisha Punda kwenda mtoni lakini sio kunywa maji. Need I say more?hata mgomo ulivyoanza tulifichwa,lakini ukweli ukatamalaki.
Unaweza kumlazisha Punda kwenda mtoni lakini sio kunywa maji. Need I say more?hata mgomo ulivyoanza tulifichwa,lakini ukweli ukatamalaki.
tumeangalia itv?
akili zao kama za Tambwe Hiza!
Kumbe wamewahonga vyombo vya habari. Hata kuna jamaa kasema hapa mbona hawa madaktari bingwa ni wapya hamfahamu hata mmoja naye ni mfanyakazi wa pale.
hata mgomo ulivyoanza tulifichwa,lakini ukweli ukatamalaki.