Siku za hivi karibuni baada ya maandamano ya CDM chama tawala kupitia viongozi wake mbalimbali akiwemo rais wa nchi wametoa kauli ambazo zinaonesha wazi kuwa ni chama cha ubabaishaji kinachotumia propaganda na mipasho na kuficha ukweli halisi.
Katika sintafahamu hiyo sijasikia hoja yoyote ya msingi zaidi ya kukomalia amani na utulivu wa nchi.
Hoja: Je amani na utulivu ndo ngao ya ccm ya kutwaa haki miliki ya kutawala nchi hii kwa ufisadi? Je katika maandamano ya CDM kuna vurugu zozote ziliripotiwa?
Ndugu zangu nawaangalia kwa huruma sana watz ambao uelewa wao ni mdogo na kuchukulia kauli za viongozi hao juu juu huku wao wakiendelea kuteseka.
Katika sintafahamu hiyo sijasikia hoja yoyote ya msingi zaidi ya kukomalia amani na utulivu wa nchi.
Hoja: Je amani na utulivu ndo ngao ya ccm ya kutwaa haki miliki ya kutawala nchi hii kwa ufisadi? Je katika maandamano ya CDM kuna vurugu zozote ziliripotiwa?
Ndugu zangu nawaangalia kwa huruma sana watz ambao uelewa wao ni mdogo na kuchukulia kauli za viongozi hao juu juu huku wao wakiendelea kuteseka.