Huyo MM ni mtanzania mwenzetu,binadamu kama sisi,lakini hapo alipo hana amani na hana raha.Anahisi kwa sasa kama vile nchi hii haimhusu tena kwa sababu tu jamaa yake dr Mihogo hayupo cdm kama mgombea urais.Nampa pole kwa hilo,kwani hajatambua kwamba katika mapambano na adui yetu ccm,kwa sasa silaha yetu ni EL hata kama hatumpendi,sijui mgonjwa,fisadi nk.ni mbinu mojawapo kumkamata jambazi kwa kuongozwa na anayewajua mbinu zao na wapi walipo, aliyejitenga nao,we huoni wanavyohaha?.Kuendelea kulalama na kumchafua EL kunatufanya tukudharau na kukuelewa kuwa we agent wa ccm tangia mwanzo au umelamba kitu.