Juniour K
Member
- Mar 8, 2012
- 54
- 5
Since asubuhi maeneo ya kinondoni umeme unakatika na kurudi,hatuelewi nini kinaendelea,kama ni ufundi mnaousema,huu ufundi wa namna gani wa kutaka kuchoma vifaa vya wananchi,umeme unakatika hata usiku wa manane,huo ufundi unafanywa hadi usiku wa manane?wana jf mnisaidie kumweleza huyu prof badala ya muhongo ataitwa muongo.
Prof nakupa angalizo ahadi ulizokuwa unatoa,ulikuwa huzitoi kwa viziwi wala vipofu,take care prof.hadi naipeleka hii thread hewani niko kwenye kiza.
Prof nakupa angalizo ahadi ulizokuwa unatoa,ulikuwa huzitoi kwa viziwi wala vipofu,take care prof.hadi naipeleka hii thread hewani niko kwenye kiza.