Profesor huyu alikuwa SUA Morogoro sasa ni mtu mzito Rwanda

Majuzi tulipata uzi uliondaliwa na Mchungaji Christopher Mtikila kuhusu nchi yetu kukaliwa na watu kutoka nchi za Rwanda na Burundi mpaka kushika nyadhifa kubwa hapa kwetu. kuna profesor alikuwa SUA Morogoro anajulikana kwa jina la PROFESOR MARTIN SHEM, hakuna aliyejua asili yake vizuri. baada ya kagame kuchukua nchi alimwita na sasa ni moja kati watu muhimu sana huko. Morogoro anakuja na kuondoka na aliwanayang'anya ardhi wazawa kesi ipo mahakamani na amefuga ng'ombe wa kisasa na kulima zao muhogo kisasa na kuuza nje ya nchi hasa south africa na ndani kwenye viwanda vya biskuti. wakati akiwa Tanzania hakuna aliyejua kama ni mtu kutoka Rwanda, wapo wengi wamesomeshwa na taifa hili na sasa wanatumikia nchi zao. ukitaka kujua huyu mtu google profesor martin shem au fuata link hii ya Rwanda. http://goo.gl/fb/ne50w then angalia walioteuliwa na Rais Kagame hivi karibuni kuwa wakuu wa wizara na tasisi za serikali ya Rwanda.

Wapo kibao hapa kwetu na usalama wa taifa na uhamiaji hawajui lolote.

Inteligensia ya mzee Mwema inafanya kazi linapokuja suala la mikutano ya CHADEMA tu. Lakini katika masala mengine yanayohusu usalama wa nchi yetu hapana wao, haiwahusu kwa sababu pia haiwahusu CCM pamoja na Mwenyekiti wao. Na ndio maana hata linapokuja suala la fulani ni raia au siyo, si uhamiaji wala polisi wanaofuatilia na kutaka majibu.
 
You may be right. But are genuine Tanzanian citizens given the chances and the right work environments to make them deliver? This one could go to Rwanda because he may be a citizen, but what about the rest of Tanzanian professionals?

Na ulisoma na kuelewa hiki alichoandika?:

"Morogoro anakuja na kuondoka na aliwanayang'anya ardhi wazawa kesi ipo mahakamani na amefuga ng'ombe wa kisasa na kulima zao muhogo kisasa na kuuza nje ya nchi hasa south africa na ndani kwenye viwanda vya biskuti. wakati akiwa Tanzania hakuna aliyejua kama ni mtu kutoka Rwanda, wapo wengi wamesomeshwa na taifa hili na sasa wanatumikia nchi zao."

Hapa anaelezea jinsi serikali ilivyoshindwa kulinda haki za raia wake. (.)


Dingswayo

I am knw I am right on wht I said 100% refer to the BoT Rwandans "the tall one" and Liyumba.

Hapo kwenye red sio kweli kuwa hakuna mtu asiejua kama huyo Prof ni Mnyarwanda yeye amejuaje? na hivi inakuingia akilini mtu anaitwa DR. NDABIKUNZE MARTIN SHEM awe mluguru kweli! khaaaaaaaaaa
 
ni wengi tu ...Mkuu wa itifaki wa serikali ya Kagame ni mtutsi..alikuwa lecturer wa Mzumbe (IDM -Mzumbe)
 
Nimeiona hii hapa:

Martin Ndabikunze Shem is a Tanzanian citizen who graduated from the University of Dar-es-
Salaam with BSc. (Agric.) (Hons.), and obtained his MSc and PhD from the University of Guelph
in Canada and the University of Aberdeen in the UK respectively.
He started his career as a Field Officer for the Livestock Development Authority (LIDA) in
1975, then the largest livestock parastatal holding company in Tanzania dealing with milk
and beef production, and processing. From LIDA he joined Sokoine University of
Agriculture in 1982 as a Tutorial Assistant and is currently Professor of Animal Science. He
also carries out research in basic and applied nutrition, pastoralism and conflict resolution,
beef and dairy management under tropical conditions and pasture and forage conservation
techniques. Prof. Shem has ample experience in tropical livestock farming systems
research and production under tropical conditions, for which he is nationally and internationally
recognised.
Prof. Shem has conducted consultancy work for organizations including USAID, FAO, UNDP,
IIED/RECONCILE, the World Food Programme and the African Development Bank (ADB).
Prof Shem is well known in the farming community in Tanzania as a medium scale dairy and
beef cattle keeper. He is a founder member and Executive Secretary of the Morogoro Dairy
and General Livestock Farmer’s Association (MODALIFA). He is also the current Chairman of
the Tanzania Milk Producers Association (TAMPRODA) and a member of the Tanzania Dairy
Board (TDB) and an active member of the Tanzania Society of Animal Production for the
past 20 years.

Department of Animal Science and Production, P.O. Box 3004, Chuo Kikuu, Morogoro,
Tanzania; Telephone: 255-23-2-603511-15 ext.4471 (Office) 255-23-2604676 (Home), +255-
744-293-535 (Mobile) Fax: 255-23-2-604621, 4562 and 4088; E-mail: martinshem@yahoo.com,

Martin N. Shem, PhD. Professor
con_address.png

Office: Block A

Department of Animal Science and Production, Sokoine University of Agriculture, P. O. Box 3004, Morogoro, TANZANIA

con_tel.png
+255 23 2603511-4

con_info.png
Teaching: Dairy Production.
--

Shem holds a PhD from the University of Aberdeen.
Enter your Name:
E-mail address*:
Message Subject:
Enter your Message*:
E-mail a copy of this message to your own address.
Send
 
Dingswayo

I am knw I am right on wht I said 100% refer to the BoT Rwandans "the tall one" and Liyumba.

Hapo kwenye red sio kweli kuwa hakuna mtu asiejua kama huyo Prof ni Mnyarwanda yeye amejuaje? na hivi inakuingia akilini mtu anaitwa DR. NDABIKUNZE MARTIN SHEM awe mluguru kweli! khaaaaaaaaaa

Man. We are speaking of the same thing. Sorry for the misunderstanding.
 
Na katika vitambulisho vya taifa watakuwepo!!! Ha ha ha!! Zoezi lenyewe linavyoendeshwa!! No seriousness kabisa!! Chuo enzi hizo tulisoma nao Wanyarwanda na Kagame waliwachukua wengi sana hata waliosoma nyuma yetu are no longer in Tz!!! Hivi inawezekana kwa Mtz kuwa nchi za jirani na kujinafasi kwa raha kiasi hiki? Ingekuwa hivyo tusingekuwa na case za watanzania kuuawa nchi kama malawi, zambia, Kenya, Uganda, etc. Tuwe makini usalama wa taifa!! Hivi hamna habari? Kama hamna habari ni udhaifu mkubwa sana huu!!
 
Mleta hoja unapokuja na hoja hii unaileta kama kusema huyu jamaa ni illegal immigrant au anaishi Tanzania kwa misingi gani au unaona miradi aliyo nayo hapo Morogoro ni dalili kwamba amelowea hapo au unamaanisha nini kuhusu hoja yako?

Kwa maana serikali yetu inafahamu kila kitu kuhusu huyu mtaalam.
 
Non- Issue, nchi nyingine nazo pia zinakaliwa na watu kutoka Tanzania (& vice versa). Lipumba aliteuliwa kuwa mshauri wa Museveni (kabla ya hapo alikuwa UDSM na serikalini), Daniel Yona aliwahi kuwa balozi wa Ghana nchini Tanzania (baadaye akawa waziri wetu), Govenor mpya wa benki kuu ya England ni Mcanada, Kim Poulsen (Mdenmark) ni coach wa Taifa Stars, etc. Hizi ni movements za kawaida kwa watu wenye rare credentials.
 
ni wengi tu ...Mkuu wa itifaki wa serikali ya Kagame ni mtutsi..alikuwa lecturer wa Mzumbe (IDM -Mzumbe)

I hope si Dr.Ruzibuka.....Lakini linavyokuja suala la uwajibikaji Rwanda ni tofauti kidogo na kwetu...Hata katika asasi za serikali ya Rwanda kama Rwanda Revenue,Rwanda Investment Board pia kuna watanzania wengi wanashika madaraka ya juu kwa sababu wana deliver....Hata Butare University kuna watanzania (wasio na utata wa uraia) zaidi ya 25 wameshika madaraka mbalimbali hapo achilia mbali ilivyokuwa KISTM.
 
Majuzi tulipata uzi uliondaliwa na Mchungaji Christopher Mtikila kuhusu nchi yetu kukaliwa na watu kutoka nchi za Rwanda na Burundi mpaka kushika nyadhifa kubwa hapa kwetu. kuna profesor alikuwa SUA Morogoro anajulikana kwa jina la PROFESOR MARTIN SHEM, hakuna aliyejua asili yake vizuri. baada ya kagame kuchukua nchi alimwita na sasa ni moja kati watu muhimu sana huko. Morogoro anakuja na kuondoka na aliwanayang'anya ardhi wazawa kesi ipo mahakamani na amefuga ng'ombe wa kisasa na kulima zao muhogo kisasa na kuuza nje ya nchi hasa south africa na ndani kwenye viwanda vya biskuti. wakati akiwa Tanzania hakuna aliyejua kama ni mtu kutoka Rwanda, wapo wengi wamesomeshwa na taifa hili na sasa wanatumikia nchi zao. ukitaka kujua huyu mtu google profesor martin shem au fuata link hii ya Rwanda. http://goo.gl/fb/ne50w then angalia walioteuliwa na Rais Kagame hivi karibuni kuwa wakuu wa wizara na tasisi za serikali ya Rwanda.

Wapo kibao hapa kwetu na usalama wa taifa na uhamiaji hawajui lolote.

Sikumkuta SUA lakini mke wake mama Ndabikunze alitufundisha, naye ni staff department ya Food Sciences! what I head ni kuwa alienda kufundisha pale University of Kigali kwa muda... we need to be extra careful guys
 
You may be right. But are genuine Tanzanian citizens given the chances and the right work environments to make them deliver? This one could go to Rwanda because he may be a citizen, but what about the rest of Tanzanian professionals?

Na ulisoma na kuelewa hiki alichoandika?:



"Morogoro anakuja na kuondoka na aliwanayang'anya ardhi wazawa kesi ipo mahakamani na amefuga ng'ombe wa kisasa na kulima zao muhogo kisasa na kuuza nje ya nchi hasa south africa na ndani kwenye viwanda vya biskuti. wakati akiwa Tanzania hakuna aliyejua kama ni mtu kutoka Rwanda, wapo wengi wamesomeshwa na taifa hili na sasa wanatumikia nchi zao."

Hapa anaelezea jinsi serikali ilivyoshindwa kulinda haki za raia wake. (.)


jina lake tu linaonyesha asili yake ni Rwanda ukiserch http://goo.gl/fb/ne50w utakuta kuna nyingeza ya jina la tatu NDABIKUNZE
 
Mleta hoja unapokuja na hoja hii unaileta kama kusema huyu jamaa ni illegal immigrant au anaishi Tanzania kwa misingi gani au unaona miradi aliyo nayo hapo Morogoro ni dalili kwamba amelowea hapo au unamaanisha nini kuhusu hoja yako?

Kwa maana serikali yetu inafahamu kila kitu kuhusu huyu mtaalam.


Haifahamu kama haifahamu haijali kama inajali kuna nguvu ya rushwa ya kutokuchukua zinazotakiwa hatua.
 
Unajua maana ya NDABIKUNZE? ni lugha ya Rwanda ikiwa na maana ya kuwa navipenda, kuishi Tanzania si tatizo asilia yake ni wapi?
 
mi nawajua wengi pia,lakin kama wana nia nzuri tuwaache,tanzania kuna fursa nyingi sana lakin wazawa awazion wapo busy kulalamika,waache wa utilize resource,wanayarwanda wengi ninaowajua tz wengine ni viongozi kabisa na si kwamba aifahamika ata wakuu wanajua ila mambo ya pesa,pia wengine wamejiajiri,mimi sina tatizo na waliojiajiri ila ambao wameingia kwenye siasa ni hatari zaidi.
maoni yangu wanaokuja kutafuta maisha tuwaache
 
Non- Issue, nchi nyingine nazo pia zinakaliwa na watu kutoka Tanzania (& vice versa). Lipumba aliteuliwa kuwa mshauri wa Museveni (kabla ya hapo alikuwa UDSM na serikalini), Daniel Yona aliwahi kuwa balozi wa Ghana nchini Tanzania (baadaye akawa waziri wetu), Govenor mpya wa benki kuu ya England ni Mcanada, Kim Poulsen (Mdenmark) ni coach wa Taifa Stars, etc. Hizi ni movements za kawaida kwa watu wenye rare credentials.

Tatizo sio kukaa na kufanyakazi katika nchi nyingine- Ila ni wale wanaodanganya kuwa ni raia kumbe wanazitumikia pia nchi zao. Tuwe makini na raia waliotoka Mpakani i. e wakenya kusema wao wanatoka Kilimanjaro au Tanga-wanasoma na kutibiwa pamoja na kupata huduma nyingine!
 
Mleta hoja unapokuja na hoja hii unaileta kama kusema huyu jamaa ni illegal immigrant au anaishi Tanzania kwa misingi gani au unaona miradi aliyo nayo hapo Morogoro ni dalili kwamba amelowea hapo au unamaanisha nini kuhusu hoja yako?

Kwa maana serikali yetu inafahamu kila kitu kuhusu huyu mtaalam.


Sijakurupuka ninajua juu ya huyu mtu, kwa taarifa huyu ni raia wa Rwanda, tatizo ni kutumia resource za Tanzania kwa faida ya nchi nyingine, pili ni illegal immigrant NDABIKUNZE likiwa na maana ya NAVIPENDA kwa kinyarwanda. je kwenye cheti cha uraia atapewa? ni kweli huyu na mtaalamu lakini linapokuja swala la usalama wa nchi yetu ni muhimu sana. kuna wageni wengi wamejipenyeza hapa kwetu na wana mtandao. hata kumfahamu huyu Bwana ni kupitia mtandao wao wa kusaidiana.
 
Kagame is so smart na bado atachukua potential persons wote hata kama ni Mtanzania
 
Back
Top Bottom