Toa hiyo sms tujue ili tukuhabarishe
kwamba ana nyumba ndogo, hilo sio tatizo hapa,leta khabari....
waberoya
Nadhani kuhusu habari njema kuhusu 'technohama' right?
Naomba mlioko Mlimani au karibu naye mtuhabarisheni!
None of you meet the requirement I posted below thus why, your posts are another mauza uza!
It is not a MUST to post even when you are supposed only to read!
Professor Dr. Nzali amefariki jana asubuhi, kabla ya kufariki alikuwa ni Dean wa Faculty of Electrical and Computer System Engeering (ECSE)katika CoET (UDMS).
Raha ya Milele umpe Eee Bwana na mwanga wa milele umwangazie, apumzike kwa Amani.
Professor Dr. Nzali amefariki jana asubuhi, kabla ya kufariki alikuwa ni Dean wa Faculty of Electrical and Computer System Engeering (ECSE)katika CoET (UDMS).
Raha ya Milele umpe Eee Bwana na mwanga wa milele umwangazie, apumzike kwa Amani.