Prof. Muhongo umetisha

Watanzania kwa kudanganywa ndo zetu. Hivi ni mara ngapi tumekuwa tukisikia kauli kama hizo? Wamebadili chupa lakini mvinyo ule uleeeeee!!! Subirini muone, kama haitakuwa muhogo mchungu
 
Hajaeleza kwa nini nilipie Kila Nguzo mil 1.3 KUUNGANISHIWA UMEME, na bado nguzo yamilikiwa na Tanesco wakati nalipa kodi kwa Serikali kila siku?
 
Kama alivyobanwa na Mh.Mkono, yeye alijibu kuwa unamaslahi binafsi na muuliza swali. Mkono alimwambia alishajibu kwa maandishi kutokana na kukosa nafasi ya kujibu kwa maneno Bungeni. Lakushangaza Spika alimlazimisha asijibu mpaka na yeye ahakikishe kuwa hilo jibu lipo kwenye taarifa za Bunge kimaandishi. Mh. Mnyika na Mh.Zitto waliomba mwongozo, ila Spika aling'ang'ania kuwa mpaka ajiridhishe yeye kwanza. Nafikiri amevutisha muda ili likatengenezwe jibu la kimagumashi. Sasa sijui hii ni kanuni ya Bunge ama uwajibikaji serikalini.
Watupe jibu mradi wa Kiwira. Mkapa ajibu.
 
:welcome: serekali ileile, watu walewale, mfumo uleule - kweli atafanikiwa? Tibaijuka sasa yukowapi? Ile kasi bado anaendelea nayo?:llama:
 
Sera nzuri zipo sana, ila tatizo ni watekeezaji. Utaambiwa njoo kesho siju doc haipo au gari haina mafuta ili Mradi tu. Labda Kama atawajibika kwa utendaji wao.
 
Kwa maelezo yake amesema kuanzia Mei 2012 mtu yeyote atayeomba kuunganishwa na Tanesco kupata umeme, anatakiwa kupatiwa huduma hiyo ndani ya mwezi mmoja. Asante Mu h ongo
Kwanza ondoa hiyo h kwenye jina lake ili uhakikishe kuwa Muhongo kama wanasiasa wengi ni Muongo.
Mimi na Watanzania wenzangu zaidi ya milioni 40 bado tunaweweseka na kauli mbiu ya Kasi Mpya Nguvu Mpya Ari Mpya, ikifuatiwa na ahadi ya Maisha Bora kwa kila Mtanzania Tulichoambulia katika kauli mbiu ile ni
Kasi ya viongozi wetu kutuibia mchana
Nguvu na mashindano ya kujitajirisha
Ari ya kuimaliza Tanzania.
 
....kwanza atoe maelezo sahihi juu ishu ya Kiwila...vinginevyo bado hajatisha.

kama waziri tayari liko mezani linahusu wizara yake.Tatizo kavaa koti kubwa kuliko umbo naweza kuwa msomi mzuri dhamira nzuri , lakini je collective resiponsibility ataikwepa vipi?magufuli pamoja na kujifanya ngangali je nyumba za serikali libidi atetee hata kama haikubaliki.Suala hili linamhusu BEN MKAPA anatetewa na JK , unategemea atasema nn kama si dandana.NSSf waliutaka huu mradi na unaweza kuanza kuzalisha umeme hata leo.lkini jambo hili limekuwa gumu sana.Akiwa ndani ya ccm hakuna kitu kata nape ni mzuri kuliko yeye
 
Fomu za kuomba kuunganishiwa tu hakuna Dar nzima huo umeme wa kuunganishia mwezi mmoja atautoa wapi???!!!keshaambukizwa uongo huyo!
 
ni wazo zuri kama atalitekeleza..lakini kama ni porojo kama za MUKULU za kubadili kigoma kuwa kama DUBAI..huu nao utakua UDHAIFU
 
Ngeleja anajiskiaje? Angekuwa mhehe angeshajitundika muda mrefu.
 
Nimetoka muda si mrefu kumsikiliza waziri wa nishati na madini na amefafanua kwa kifupi baadhi ya mambo ambayo ameamua kuyabadili kwenye utendaji kazi wa Tanesco. Kwa maelezo yake amesema kuanzia Mei 2012 mtu yeyote atayeomba kuunganishwa na Tanesco kupata umeme, anatakiwa kupatiwa huduma hiyo ndani ya mwezi mmoja.

Nadhani amefanya uamuzi wa busara, si tu kwetu wananchi bali atasaidia hata Takururu kwa upungufu wa rushwa kwenye kuunganisha umeme.

Kwa umeo wangu mdogo nafikiri huyu waziri atafanya mambo makubwa sana kama tu mipango yale ni kweli itatekerezeka kama inavoonekana.

Asante Muhongo

Aondoe na malipo ya nguzo! iweje mtu alipie nguzo bado ibakie mali ya Tanesco!?
 
Pambafuu..!!hyu mhongo mbona ana mawazo finyu kiasi hki,watu 2meshatapeliwa mpka bac hlo haliwezekan serikali DHAIFU haishiwi porojo kwa wananchi wake..huu ni upuuzi


kaka unasema haiwezekani,wewe ulitaka iweje kwani? ulitaka asiweke misimamo ktk mambo ambayo yanatekelezeka tatizo ni wafanyakazi wanaotaka rushwa masaa 24?

acheni viongozi wafanye kazi,akimaliza muda wake utateuliwa wewe ili tuone nini utafanya
 
Mmepatia mkuu.(uamsho nawasupport nawasaidia) .tumeshaweka ajenda zetu hadharani Muungano ujadiliwe..nyinyi watu fitna na sirini lini mtajiweka wazi??

Huoni kutoa rushwa ni adui wa haki au ndio sera ya chadema?? musaidi prof. Muongo..kuboresha wizara kwa kukataa ruishwa..
Topical kwakuwa wewe ndiye mshauri mkuu na mpanga mikakati mkuu wa UAMSHO nakupa ushauri wa bure tu.
Muungano tutaujadili lakini hatutauvunja. Tutaendelea kuwa nchi moja ila tutakuwa na aidha serikali moja ama tatu.
Nimeambiwa kwamba mmekuwa mkienda kuwatisha wadogo zetu wanaosoma chuo cha mwalimu nyerere pale bububu na kule kwenye hosteli zao maisara.
Siku mkithubutu kuvuka uzio tu na kuingia chuoni ama hosteli, siku hiyo mtashughulikiwa kisawasawa, na kubaki na vilema vya maisha kama si kupoteza uhai. Usijekusema sijakuonya.
 
Last edited by a moderator:
....kwanza atoe maelezo sahihi juu ishu ya Kiwila...vinginevyo bado hajatisha.

There is a "thin line" between Prof Muhong'o and Kiwira........watch!........mkumbuke huyu alikuwa ni mtu wa karibu sana sana na BWM both kikazi na kifamilia............
 
1. Aliyoeleza huyu Profesa kuhusu waliokwisha lipia umeme mimi nayaunga mkono. Hakuna haja ya kuanza kusema sijui Tanesco wamewezeshwa au la maana kwa nini uchukue fedha zangu kwa ajili ya kuniunganishia umeme kama unajua huna nguzo au sijui waya n.k? Yaani Watanzania tumenyanyaswa mpaka tumeota sugu hata mtu akitaka kutusaidia tunakataa na kusema ni nguvu za soda au kuanza waonea huruma watumishi wazembe wa serikali mfano kutetea tena mameneja wazembe wa tanesco huko Mikoani.


2. Kuhusu majibu kwa Mkono hata mimi sikuelewa nikajisemea leo Mzanaki tajiri kakumbana na Mzanaki Msomi mwenzake!!! LOL!! Lakini si profesa amesema tusubiri hotuba yake ndipo tusikie atasema nini juu ya yote yanayohusu wizara kwa undani yaani ikiwemo Kiwira na pia Mh Waziri tunasubiri madudu mengine uliyoyaona ambayo hujatwambia ila akayaita tu madudu?? siku umetembelea Tanesco na wizarani kwako.

Namempa a benefit of doubt kidogo huyu profesa yaani hata kusimama na kumjibu waziwazi huyu Millionea kama ishara ya Wizara kutopelekeshwa na watu wanaokuwa na maslahi binafsi katika miradi ya Taifa. Yaani Bungeni tusijadili mgogoro wa kampuni ya Mh. Mkono katika sakata la kiwira (mimi sijui kuna nini) bali nasubiri kwenye hotuba ya Waziri atueleze juu ya Kiwira na faida au hasara yake kwa Watanzania.
 
Hebu watanzania tubadilike kidogo. Sasa tuanze kuwasifia viongozi kwa matokeo badala ya ahadi na nia wanazoonyesha. Amesema, sawa, sasa tumpe angalau miezi sita waje watu hapa watueleze kwamba mimi nimewekewa umeme ndani ya mwezi, tupige hesabu, ndipo tumpongeze. Hii tabia yetu ya kusifia kauli ndiyo iliyowalemaze viongozi wetu wakawa goigoi wa vitendo na mahodari wa maneno. Tujirekebishe!
 
acha uongo mkuu huyu ni mwana geolojia si mwana siasa kamwe kama una yako ulotumwa kayajadili na mkeo sio kusingizia watu makini kama professor muhongo . ndo maana hajawahi kuomba ubunge mahala popote na amesema kuwa asiposikilizwa anrudi kufundisha.

...mkuu anaweza akawa yupo serious na ana dhamita ya kweli kabisa but huu mfumo ndo utakaomrudisha nyuma,trust me!
 
Back
Top Bottom